Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

Tujifunze vyakula vya afya, matunda na mboga mboga ziwe nyingi zaidi
 
Nafanya sana mazoezi mzee
 
bado sijajua jina La mlo huo na kiambata chake
 
kwani ni chakula gani hiko...mm mbona sijaelewa!
 
Afu jina lani ni jini "kisiranii".
Naamini huyu mtu anatumia jinsia isiyo yake humu ndani ila uandishi umemuumbua
Kuna watu sijui mna matatizo gani. Naamini utakufa siku sio zako. Jinsia yangu wewe inakuhusu nini. Na ukijua jinsia yangu utafaidika vipi. Wewe soma comment zangu na haka hazikuvutii lala mbele.
 
Tukienda kwenye mabanda ya chips me mmejaa humo na vikuku vya wiki 2 sasa hapo tuiteje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…