Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

Mkuu vipi!? Unakaa mitaani nikutumie msosi mtamu
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mie najitoshereza kwa kila idara mkuu nashukuru sana usihofu, sema nikupe mwaliko siku moja
 
Mtoto wa nje ya ndoa
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mie najitoshereza kwa kila idara mkuu nashukuru sana usihofu, sema nikupe mwaliko siku moja
Hapana nashukuru pia, kama unasifia hiki kilichopostiwa hapa basi huna tofauti nae
 
Hapana nashukuru pia, kama unasifia hiki kilichopostiwa hapa basi huna tofauti nae
Sio kusifia kinachotakiwa hapo ni kurekebisha tu si kuzodolewa kana kwamba hajui, laa njoo ufundishwe kupika hatuongei maneno tupu hapa
 
Sio kusifia kinachotakiwa hapo ni kurekebisha tu si kuzodolewa kana kwamba hajui, laa njoo ufundishwe kupika hatuongei maneno tupu hapa
Nifundishwe tena?? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…