Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Mie nimekosa jibu Kaka angu sababu huu leo ni mchuzi wenye kila aina ya kitoweo maana hadi samaki nimemwona humo.Hahahahahaha Hajar Miss Natafuta Mzigua90 mje muone wifi yenu leo kapatia ama kakosea kama siku ile?
Mie nimebaki nashangaa tu rafiki. Kama anavigoogle anajua mwenyewe nini anaandika sababu mi sivielewi hata ujue.Wewe jamaa vyakula unavyokula bwana sijui unatoa wapi tu, sasa hizo sio nyama za mamba kweli?
Hii ni Kitimoto na samaki ama?
Hahahahahaha aiseeeeeHahahaaa. Mie nimekosa jibu Kaka angu sababu huu leo ni mchuzi wenye kila aina ya kitoweo maana hadi samaki nimemwona humo.
Aje tu aseme ni manyama gani hayo.Pia nimeona nyama ya [emoji200], nahivyo vilivyojikunya kama govi sijui ni nini tu?
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee!!Aje tu aseme ni manyama gani hayo.
Cc. Mleta uzi.
Hahaaaa. Cheka tu kaka yangu.Hahahahahaha aiseeeee
Wenye chura kubwa si ndo mnaopenda au??? Tulieni tuMademu wa Badoo haoo
Huyu Duke mwenyewe nimeshamshtukia anatafuta KIK tu kwa njia ya vyakulaMie nimebaki nashangaa tu rafiki. Kama anavigoogle anajua mwenyewe nini anaandika sababu mi sivielewi hata ujue.
Na sidhani kama ni kweli mke wake anapika hiko chakula.
Hapa tusubili mrejesho mwingine sister, leo pia shemeji kaenda chakaHahaaaa. Cheka tu kaka yangu.
Umeanza kumsoma mkuu si ndiyo??Huyu Duke mwenyewe nimeshamshtukia anatafuta KIK tu kwa njia ya vyakula
Umeonaeee. Tumbo inatakiwa lithaminiwe bana rafiki sio kila kitu kinawekwa.[emoji23][emoji23][emoji23] aisee!!
Nakweli kichefu chefu mimi siwezi kuangalia mara mbili hicho chakula
Hahaaaaaa. Kaka mie nahisi itakuwa hakumwambia.Mkuu Duke Tachez mrejesho mwingine utahitajika hapa ulete, kwani ulimwambia kuhusu maoni uliyoyapata kwenye ule Uzi wa kwanza shemeji yetu??
Hahah!!Umeonaeee. Tumbo inatakiwa lithaminiwe bana rafiki sio kila kitu kinawekwa.
Ila upande wa pili itabidi niwasiliane na mleta uzi aniunganishe na mkewe anielekeze nije nikupikie siku moja. [emoji85] [emoji85]