Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahha kivipiMsosi mtamu shida nikipiga mahesabu nishati ni kibao
Angalia usipate kitambi kina Baltazar ni wengi watakuibia
Sawa nutritionisthahahahha kivipi
hapo kakosa mboga za majani tu
kula sana inategemea na kazi ya mtu kwa anaetumia nguvu yaaninkazi za kutumia nguvu hula sana chakula
Haoi huyu.Kwa sotojo Hilo utaoa leo kweli 🤔
Mtego huo!Yummy. Hongera mkuu
Hujatuonyesha ukienda kuga na kanga, huku maji umewekea viungo.Leo nimepika chakula kitamu mno hasa mboga maana ilikua na viungo vingi nyenye kuleta ladha
MAHITAJI NILIYOTUMIA
Mchele nusu kilo, mafuta ya kula, viazi mviringo viwili, nusu kuku, njegere, tui la nazi, paprika, black pepper, curry powder, soya source, pilipili ya kuwasha ya unga, majani ya coriander nyanya 3, hoho ya kijani na karot
Hoho na karot nimekata vipande vikubwa kidogo na kuku niliwaweka kwenye mafuta kwa dakika 2
View attachment 3145479
Majani ya coriander nilisaha pamoja na nyanya kwenye blender
View attachment 3145480
Viungo nilivyotumia ili kuleta radha nzuri kwenye chakula
View attachment 3145483
Mchele niliuosha kisha nikakausha maji
View attachment 3145484
Wali wa nazi upo tayari kuliwa umekauka vizuri kabisa
View attachment 3145486
Mboga yangu tamu ipo tayari kuliwa ni tamu mno, yenye radha na inanukia
View attachment 3145487
Nacheki movie ya atlas 2024 huku napiga msosi mtamu na wenye radha nzuri
View attachment 3145489View attachment 3145497
hahaha, Sasa kupika meal moja ndo kufanya asi oe??.Utaoa kweli?
Haha mko vizuri.. Nina zaidi ya miaka 30 sijui jikoni pakojehahaha, Sasa kupika meal moja ndo kufanya asi oe??.
kaka nisi kufiche, napika nyumbani, napika nikiwa kwenye mishe. as long as I feel it. basi natupiamo.
hahaha miaka 30, mzee Anza kuji funza mdogo mdogo.Haha mko vizuri.. Nina zaidi ya miaka 30 sijui jikoni pakoje
Mwanaume unawezaje kukumbuka hadi maua?Niliagiza china kupitia pinduoduoView attachment 3145520
Mbona uanaume mna u complicate Sana??, watu hawa paswi kuwa na passion au hobby??Mwanaume unawezaje kukumbuka hadi maua?
Nyinyi ndo wale wenye itikadi ya kuvaa boxer 1 wiki nzima bila kufuliwa ukiuliza unajibiwa ndo uanaume🤣Mwanaume unawezaje kukumbuka hadi maua?
tuta fute mkwanja Castr, nime kaa nyumba nzima peke angu.Msela unakaa nyumba ina tiles? 🙄🙄😔
Naomba michongo Intelligent businessmantuta fute mkwanja Castr, nime kaa nyumba nzima peke angu.
Huku nilio wapangisha wana familia kubwa, na wame chukua chumba na sebule
maana yake una soko la embe ama?, lakini pia sipigi mishe hizo.
Habari za siku nyingi?maana yake una soko la embe ama?, lakini pia sipigi mishe hizo.
labda uzalishaji wa unga wa ugali (sembe).
Mimi ni raisi wa ma jobless pro max, nili wahi ona ule ujumbe wako wa kukaa Miaka zaidi ya 7 bila kupata kazi.
Kama mwanaume mwenzio, Ina niuma Sana. Hebu mzee wangu Ushimen ufike hapo maana baraka zako ni kubwa.