Mkongo 1
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 302
- 352
Leo nilivokua msibani kwa bibi wa Wingerezani nimemuona binadamu asie wa kawaida nikajaribu kumpiga pic lakini kama akahisi nitaweka pic zake kama 1 mtaona kwanza macho yake hayako kama binadamu make huoni jicho Lake giza na sikio shape yake sio kawaida na pua pia nikahisi ndio wale