Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Ni kweli mumebakia kuwa ni Mabingwa wa Kihistoria tu kusomwa Magazetini kama Chairman Mao.
Kwa kizazi cha sasa anajuilikana Bingwa ni Simba tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta 7buHumudi alishasema,
Wakicheza na Yanga lazima wafungwe.
Hivi hatushangai
Sent using Jamii Forums mobile app
Waumie kwa lipi sasa? Kwani mmewafikia kwa points? Au mnaongoza ligi?Wamefungwa mtibwa ila wanaoumia ni mambumbumbu fc
Wananchi hawana presha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe hukumsikia kule Zanzibar ktk kombe la Mapinduzi ?Tafuta 7bu
Umefanya toka nimelogin nikiona msg zako natabasamu tu Mtani. 😂😂😂
Mbona povu sasa Mkuu wangu au na wewe ndio mmoja wao nini?Waumie kwa lipi sasa? Kwani mmewafikia kwa points? Au mnaongoza ligi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Shadeeya kutoka ndani ya kuta za moyo wangu nasema naku...... naku....... nakup...............nakupongeza kwa ushindi wa jana, hakika mmepambana sana na mkiendelea na moyo huu basi mwisho wa msimu mnaweza kuwepo kwenye top 4.Umefanya toka nimelogin nikiona msg zako natabasamu tu Mtani. 😂😂😂
Nimemsikia anaongea anachokiona wakiwa uwanjani vp alisemaje kuhusu Simba fc.