Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Tafuta 7buHumudi alishasema,
Wakicheza na Yanga lazima wafungwe.
Hivi hatushangai
Sent using Jamii Forums mobile app
Waumie kwa lipi sasa? Kwani mmewafikia kwa points? Au mnaongoza ligi?Wamefungwa mtibwa ila wanaoumia ni mambumbumbu fc
Wananchi hawana presha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe hukumsikia kule Zanzibar ktk kombe la Mapinduzi ?Tafuta 7bu
Umefanya toka nimelogin nikiona msg zako natabasamu tu Mtani. πππ
Mbona povu sasa Mkuu wangu au na wewe ndio mmoja wao nini?Waumie kwa lipi sasa? Kwani mmewafikia kwa points? Au mnaongoza ligi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Shadeeya kutoka ndani ya kuta za moyo wangu nasema naku...... naku....... nakup...............nakupongeza kwa ushindi wa jana, hakika mmepambana sana na mkiendelea na moyo huu basi mwisho wa msimu mnaweza kuwepo kwenye top 4.Umefanya toka nimelogin nikiona msg zako natabasamu tu Mtani. πππ
Nimemsikia anaongea anachokiona wakiwa uwanjani vp alisemaje kuhusu Simba fc.