Leo naenda kula bata Mbezi - Kimara. Nisaidieni viwanja

Leo naenda kula bata Mbezi - Kimara. Nisaidieni viwanja

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Leo nataka nikale bata mazingira ya Mbezi - Kimara.
Sehemu nzuri classic yenye music na totoz wasafi wasafi sio machangu. Nile na kunywa na kutengeneza connection.

Wenyeji nipeni suggestion ya places nzuri.
 
Back
Top Bottom