Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
- Thread starter
-
- #341
Naam.Najua kupitia huu uzi Kuna watu watajifunza vitu, watatiwa moyo, watapata pa kuanzia likija suala la Visa. Haitakua jambo la busara kuuharibu Kwa mambo mengine.
Ikumbukwe Kwa Imani Yako ulieleza tokea mwanzo kwamba unahitaji maombi pia licha ya maandalizi ukimaanisha pamoja na mipango yetu, Kuna kudra za Mungu, hiyo ndio Imani Yako.
Sijaondoka bado nitaondoka week hii.Kwa hiyo uko marekani Jimbo gani sahii?
Duuh Mkuu wewe ni fighter kweli kweli.Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan
Ova
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan
Ova
Kulikuwa na kansela mmj mghoa hvi mama alikuw nksi kweliDuuh Mkuu wewe ni fighter kweli kweli.
Tupo kptenKwenye kupambana una PhD ya Hassling. Sema tumepotezana sana Kapten.
Tayari mkuu ufanikiwe.Habari yako ndugu,
Pongezi kwa nakala nzuri yenye mawaidha na tija kwa jamii. Hakiki kila mmoja ni kioo cha jamii yake.
Ndugu, nikiamini katika uchakataji wako wa mambo na uwezo wako wa fikra na ubunifu, naomba ukipendezwa, nipate KURA, mawazo au mapendekezo yako juu ya nakala ihusuyo:-
SoC02 - Yafanyike haya kuikomboa NHIF
Chanzo: Picha na JamiiForums Yafanyike haya kuikomboa NHIF Katika kutekeleza dhima na dira ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika kutimiza majukumu ya utoaji wa huduma ya Afya kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo (2025), Sera ya Afya ya mwaka 2007, Mpango Mkakati wa Tano wa Sekta...www.jamiiforums.com
Ahsante!!
Tayari mkuu ufanikiwe
Ahsante ndugu.Tayari mkuu ufanikiwe.
Ni pm no yako Kuna issue nikuulize mkuu. Kabla hujasepaSijaondoka bado nitaondoka week hii.
We ni mpambanaji hasa mkuu...Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan
Ova
Daaa!! yaani tangu story za kulipuliwa kwa ubalozi ulikuwa na akili ya kusepa nchini ??? mpaka leo, Mkapa hana habari kuwa anafaa , na kikwete hafikirii kugombea kifupi hawayajui madaraka?? basi utakuwa Babu sana ........shikamoo Babu.Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan
Ova
Hakuna kitu huyo! longo longo! nyiiingi!Achana kabisa na huyo mtoto wa upanga
Wewe kumbe hujui Biblia yangu imetaja mungu weeengi sana na walikuwa wana abudiwa ipasavyo, lkn mungu wa biblia yako Baba simjui mie hataa wala sitaki kumjua…Dah MUNGU unae muhubiri wewe ni huyu huyu ambae biblia inamtaja kweli?
Ndo ujue Mie nina Mungu mwenye nguvu Sanaa km zooote si unaona ulivo nikimbia kwa hoja nzito nzito!!!!…...eti sasa unakuja kivingine!! eti uonyeshe kuwa eti una support kubwa humu JF!🤣🤣🤣 we jamaa khaaa!!!
Huyu ni sawa na kunguru mweusi kati ya ndege wengine popote akikamatwa ni kichapo cha neon mpaka arudi! kundini kuokoka ni lazima siyo hiari unasikia!! ukiona hiari basi ujue Mungu hakupendi!Hoja yake na mada tajwa vitu viwili tofauti.
Nitaenda Japan kula sushi one dayPoland maisha hayakuwa marahisi
Aise sehemu ya kulala mbona panapatikana,huko nlikutana na wabongo,aise wabongo wapo sehemu nyingi duniani wametapaka
Ila nlipotoka Poland ndy nkafight kuingia Denmark
Ila kiukweli nchi nlizowahi kwenda Iran,southafrika,Namibia,zimbabwe,Brazil,Zambia,rwanda,kongo,Uganda,Kenya,komoro,Poland,Greece,UAE,Angola...ila Nchi za ndoto zangu ilikuwa USA ambayo viza nlinyimwa mara 3
Na Japan nakumbuka nliendaga ila nlipigwa bomba Airport,Japan nlip3nda Sana niendage maana wakat ule nlipata fursa huko sema ndy hivyo nkarudishwa Airport
Ndomana mpaka sahv hakuna mtu anayeweza nibabaisha na kitu maana nna exposure kubwa ya maisha,nshakutana na mengi
Ova
Nisikie vizuri hapa!! na haya nimeyapitia sana! Tabia za wabongo wengi wakiwa nje ya nchi!!/MkoaPoland maisha hayakuwa marahisi
Aise sehemu ya kulala mbona panapatikana,huko nlikutana na wabongo,aise wabongo wapo sehemu nyingi duniani wametapaka
Ila nlipotoka Poland ndy nkafight kuingia Denmark
Ila kiukweli nchi nlizowahi kwenda Iran,southafrika,Namibia,zimbabwe,Brazil,Zambia,rwanda,kongo,Uganda,Kenya,komoro,Poland,Greece,UAE,Angola...ila Nchi za ndoto zangu ilikuwa USA ambayo viza nlinyimwa mara 3
Na Japan nakumbuka nliendaga ila nlipigwa bomba Airport,Japan nlip3nda Sana niendage maana wakat ule nlipata fursa huko sema ndy hivyo nkarudishwa Airport
Ndomana mpaka sahv hakuna mtu anayeweza nibabaisha na kitu maana nna exposure kubwa ya maisha,nshakutana na mengi
Ova
Kweli kabisaNisikie vizuri hapa!! na haya nimeyapitia sana! Tabia za wabongo wengi wakiwa nje ya nchi!!/Mkoa
1.Hawataki kujionyesha kuwa wao ni wabongo! hata km Baba yako ana hela nyingi huku Tza!
2. Wanajua weye Ndo kwanza unatafuta! so utakuwa mzigo kwao! so wanakupotezea!
3. Ambao hawajafanikiwa huko majuu, ukiona wame kukubali! sometimes wewe unakuwa mtaji wao, wanakuchoresha kwa Mapolisi!
4, ukikutana na Mwenyeji Mbongo, anakuchangamkia sababu tu unajua Kiswahili, chunguza! ana taka kitu kwako!
5.Majuu kwa wenye uzoefu wana tabia za kuogopana mnoo!...….huko Mbali DSM tu hapo wale mliotoka nao Kijiji kimoja/mtaa mmoja kabisaa! tena huko kijijini mliwasaidia sana kimaisha
lkn mkikutana mjini DSM hawataki ukaribu! wanajifanya hawaja kuona ukiwaita watakuja na kuongea tuuu! baaasi!! hasa ukiwa mgeni unaanza tafuta Maisha! sembuse majuu??
Wabongo wema wapo lkn wachache mnooo!! na pia sometimes! hatuaminiani sana kivile! ukifanikiwa tu ukawa juu hao hao wema hapo ni chuki mbaya!...haya nimeyaishi huko!.....
Labda ujitahidi uwezavyo ukuwe kiuchumi ki vyako weye sasa ndo uwasaidie wengine utakao ona wana faa! lkn usiwe wa lawama lawama! sana! sasa ukisema eti ulienda Mjuu!
tena Mbaya Zaidi hapo kwa Ramaphosa maweeee! ukakutana na wabongo tu, ukaishi nao bila bughudha!! ina tia ukakasi kidogo au una kizizi Mazee!......hapa south ndo usiombe kukutana na wabongo wale wa Manzese!! heee!!
Huko ningeingia wkt ule ningepiga sana dili za spear za magariNitaenda Japan kula sushi one day
Nakutamani sana huko nawezaje kuapply kazi nikaja kikaz hata cha kawida kbsa au kishuleBarikiwa sana nilikuwa na imani utapata Maana Mungu yupo pamoja na wewe karibu siku moja moja Canada.