Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda


Hahahahahaha mkuu mke wangu yupo kwa mtu mpka mida hii ww unawaza zawadi
 
Tena ukicheza harudi leo, mpaka kesho .

Hata ukienda kwa Mchepuko, haitasimama.

Chakufanya.!!!


Mtumie Hii Text

[emoji117]NIMERUDI NA NIPO NYUMBANI TOKA SAA MOJA KASORO, HATA NILIVYOKUPIGIA NILITAKA KUJUA UKWELI WAKO, LKN BADO UMEENDELEA KUDIRIKI KUNIONGOPEA UPO NYUMBAN UNAANGALIA TAMTHILIA,, HAKIKA LEO NDIO NIMETHIBITISHA MANENO NLOKUA NIKIAMBIWA.

USIRUDI KWANGU, VITU VYAKO NA KILA KITU CHAKO UTANIELEKEZA NIKULETEE WAPI.

Mwisho..
 
Ngoma Draw! Endelea tu kupumzika kwako hadi pale atakaporejea akukute Upo, upate Ushahidi Mziri!
Muelezr tu ukweli kwamba ulikuwepo toka saa 12 na umkazanie akueleze alikuwa wapi ikiwemo pia kumchimbia mkwara arudi huko huko alikokukwa we utaenda kumchukua siku nyingine, unapumzika kwanza! [emoji16]
 

Hata mimi nimeamua nimwache tu aendelee mpka atakapo amua kurudi ,,na nahis ntamwacha tu but watoto bado wadogo roho inauma tukitengana
 
ukianza kuchepuka tarajia hilo nyumbani pia, mwanamke akipenda ni kapend kweli, jua ww ndo umembadilisha mkeo na sasa anashindana na ww na huo moto wake hauzimiki, ipo siku atakuonA hufai kabisa
Kwa hiyo wewe Mme wako kitoka na mwanamke mwingine na wewe anatoka na Mwanaume mwingine.
 
...Imekaa vyema. Nimeipenda hii. Ni lazima siku moja moja utikise kibiriti na aone kwamba chako kimejaa Full!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…