Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijala mchepuka haelewi anauliza tu vip hatuonani tena nimemwambia asubir
Mtumie meseji hii:Ntawapa mrejesho Amerudi saa ngapi home na majibu yake yatakuwa ni yapi saa tatu na Nusu sasa hajarudi
Kabisa yaani nipo naandaa kahawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo hatulali
Tupo nawewe mkuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo hamu ya mchepuko imekuishia!?
Halafu unakuta wewe ulikuwa unapiga kistaarabu kabisa, huko aliko sasa.... [emoji16][emoji16][emoji16]
Lete mrejesho sasa
Safi sana.
HAPO NDIO TUNASEMA VIMEUMANAAA
Ndoa yako kwa kipindi hicho chote imedumu kwa sababu ya mafungamano mliyonayo ya tabia chafu ya UZINZI. Nanyi wazinzi wengine chukueni somo hapo. Eboh...!Daaaa sawa
Ukome kurudi nyumbani bila taarifa, tabia mbaya sana hiyo.
Sasa unalia wivu wa nini? ( umepata unayefanana nae)
Weka mizigo nenda kwa mchepuko wako urudi kesho.
Kwanza aliyekuruhusu kurudi mapema nani?
Nanj kakuruhusu kugundua anachepuka? Mbona yeye katulia hafuatilii kuchepuka kwako?
Narudia vaa nenda kwa mchepuko
So ndio maisha mliochagua....
Aaah kabisa, asifanye mambo yawe mengi.Sasa unalia wivu wa nini? ( umepata unayefanana nae)
Weka mizigo nenda kwa mchepuko wako urudi kesho.
Kwanza aliyekuruhusu kurudi mapema nani?
Nanj kakuruhusu kugundua anachepuka? Mbona yeye katulia hafuatilii kuchepuka kwako?
Narudia vaa nenda kwa mchepuko
So ndio maisha mliochagua....