- Thread starter
- #101
Hajarudi tu?
Bado mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajarudi tu?
Mkuki kwa nguruwe! Unafikiri una nini cha zaidi yake hadi umtende na kuchukulia ni sawa tu, ila yeye asifanye kama wewe?Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.
Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,
Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.
Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,
Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,
Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife
Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.
nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.
itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,
Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,
Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .
Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,
Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.
Nawasilisha...
Aisee kuna dada ameingia kwa mpangaji mwenzangu mida ya 12 jion hv mpaka sasa hajatoka asijekuwa ndo huyu mke wako chief
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kweli mkuu
Siwez kukopy stori kama hii may be kama matukio yanafanana ila ukweli ndio huu wife wangu mpka mida hii hajarudi
Kuwa mvumilivu,utamshuhudia na anaye mkaza,atamsindikiza hadi nyumbani wakijua haupo.
Huwa anatumia kilevi?maana atakuja yupo mbwai,na katumika chapa chapa.
Mbaya ukute ni mtu unafahamiana naye anakukazia mkeo.
Mimi nipo nimeloweka miguu kwenye maji. Tuko bega kwa bega na mleta mada leoKabisa yaani nipo naandaa kahawa
Mnatengana wa niniHata mimi nimeamua nimwache tu aendelee mpka atakapo amua kurudi ,,na nahis ntamwacha tu but watoto bado wadogo roho inauma tukitengana
Sasa imeshaonekana ni chai imewekwa vitunguu swaumMimi nipo nimeloweka miguu kwenye maji. Tuko bega kwa bega na mleta mada leo