Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

kuna yule boda boda kwanza anza na huyo anajua machinjio
 
Aisee kuna dada ameingia kwa mpangaji mwenzangu mida ya 12 jion hv mpaka sasa hajatoka asijekuwa ndo huyu mke wako chief
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Mkuki kwa nguruwe! Unafikiri una nini cha zaidi yake hadi umtende na kuchukulia ni sawa tu, ila yeye asifanye kama wewe?
 
Kuwa mvumilivu,utamshuhudia na anaye mkaza,atamsindikiza hadi nyumbani wakijua haupo.
Huwa anatumia kilevi?maana atakuja yupo mbwai,na katumika chapa chapa.
Mbaya ukute ni mtu unafahamiana naye anakukazia mkeo.

Hapana hajawahi kunywa japo ni mchaga labda iwe ameanza hivi karibuni
 
Dhambi ya zinaa ni dhambi pekee inayokaa ndani ya mwili wa binadamu, yaani ni dhambi ambayo mtu akiifanya basi anafanya dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

Dhambi zingine zote ni nje ya mwili isipokuwa zinaa peke yake. Soma, 1 Wakorintho 6:18

Sasa matokeo yake ni kwamba sababu zinaa hukaa mwilini hii hupelekea kwa wazinzi kuzaa watoto wazinzi pia.
Tena kama wewe na Mkeo nyote ni wazinzi basi hata watoto wenu pia watakuwa wazinzi.

Omba maisha marefu uje uone maisha ya watoto wako watakavyokuwa ukubwani. Zinaa ni mbaya sana ndiyo kwenye Biblia na Quran kote kuna maandiko yanasema, "ikimbieni zinaa".
 
Hata mimi nimeamua nimwache tu aendelee mpka atakapo amua kurudi ,,na nahis ntamwacha tu but watoto bado wadogo roho inauma tukitengana
Mnatengana wa nini

amekuambia ana fanya?si kasema anaangalia TV

Ondoka home mtext unakaribia nyumbani umpe muda arudi
 
Back
Top Bottom