Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Habari ya kwako shehe.
Kwa kweli nimesoma yanayokusibu sio siri inauma kama mwanaume. Na sidhani kama yeye anajua ama ndio kuumizana moyo.
Tatizo kubwa ambalo nimeliona na wewe inabidi udili nalo mapema kabla hujachelewa kwa nini mkeo amekuambia umletee zawadi na wala hajataja anataka zawadi gani?
Sasa ukisema unamletea nguo wakati yeye anataka biskuti ama keki hauoni itazidi kuleta mchanganyiko?
Mwanamke wako alitakiwa akuambie ukirudi mletee zawadi ya simu ama pochi ama viatu sio kukuweka wewe hewani kama nyaya za umeme yakhe.
Ukiweza solve hilo tatizo la zawadi mtaishi maisha mema na mazuri mstarehe.

Hahahahahaha mkuu mke wangu yupo kwa mtu mpka mida hii ww unawaza zawadi
 
Tena ukicheza harudi leo, mpaka kesho .

Hata ukienda kwa Mchepuko, haitasimama.

Chakufanya.!!!


Mtumie Hii Text

[emoji117]NIMERUDI NA NIPO NYUMBANI TOKA SAA MOJA KASORO, HATA NILIVYOKUPIGIA NILITAKA KUJUA UKWELI WAKO, LKN BADO UMEENDELEA KUDIRIKI KUNIONGOPEA UPO NYUMBAN UNAANGALIA TAMTHILIA,, HAKIKA LEO NDIO NIMETHIBITISHA MANENO NLOKUA NIKIAMBIWA.

USIRUDI KWANGU, VITU VYAKO NA KILA KITU CHAKO UTANIELEKEZA NIKULETEE WAPI.

Mwisho..
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Ngoma Draw! Endelea tu kupumzika kwako hadi pale atakaporejea akukute Upo, upate Ushahidi Mziri!
Muelezr tu ukweli kwamba ulikuwepo toka saa 12 na umkazanie akueleze alikuwa wapi ikiwemo pia kumchimbia mkwara arudi huko huko alikokukwa we utaenda kumchukua siku nyingine, unapumzika kwanza! [emoji16]
 
Ngoma Draw! Endelea tu kupumzika kwako hadi pale atakaporejea akukute Upo, upate Ushahidi Mziri!
Muelezr tu ukweli kwamba ulikuwepo toka saa 12 na umkazanie akueleze alikuwa wapi ikiwemo pia kumchimbia mkwara arudi huko huko alikokukwa we utaenda kumchukua siku nyingine, unapumzika kwanza! [emoji16]

Hata mimi nimeamua nimwache tu aendelee mpka atakapo amua kurudi ,,na nahis ntamwacha tu but watoto bado wadogo roho inauma tukitengana
 
ukianza kuchepuka tarajia hilo nyumbani pia, mwanamke akipenda ni kapend kweli, jua ww ndo umembadilisha mkeo na sasa anashindana na ww na huo moto wake hauzimiki, ipo siku atakuonA hufai kabisa
Kwa hiyo wewe Mme wako kitoka na mwanamke mwingine na wewe anatoka na Mwanaume mwingine.
 
Tena ukicheza harudi leo, mpaka kesho .


Hata ukienda kwa Mchepuko, haitasimama.

Chakufanya.!!!


Mtumie Hii Text

[emoji117]NIMERUDI NA NIPO NYUMBANI TOKA SAA MOJA KASORO, HATA NILIVYOKUPIGIA NILITAKA KUJUA UKWELI WAKO, LKN BADO UMEENDELEA KUDIRIKI KUNIONGOPEA UPO NYUMBAN UNAANGALIA TAMTHILIA,, HAKIKA LEO NDIO NIMETHIBITISHA MANENO NLOKUA NIKIAMBIWA.


USIRUDI KWANGU, VITU VYAKO NA KILA KITU CHAKO UTANIELEKEZA NIKULETEE WAPI.



Mwisho..
...Imekaa vyema. Nimeipenda hii. Ni lazima siku moja moja utikise kibiriti na aone kwamba chako kimejaa Full!
 
Back
Top Bottom