Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Kaka mkubwa,kachukue Kvant kubwa ugonge wakati unamsubiri wife.Utapata majibu
 
Kalale kwa mchepuko, kesho Alfajiri rudi home uje umsubiri aje.

Kifuatacho ITV.......
 
Yawezekana muda wampgia simu mchepuko walikuwa wote na bado wako wote ndo maana mchepuko wako kashindwa kuja
 
Both team to score apo ila mkuu mchek wife tu arud home
 
Wifey wako atakuwa anajua uchepukaji wako, kaamua kukausha ila nae ana justify kwa kuchepuka, Ni vigumu sana kwa mke kukubali kugongwa nje kama hajaona cheatings za mume.

Inaeza kana lkn huwa akiona kitu tofaut huwa hakai kimya anauwasha moto lkn ni muda sasa hana habar na simu yungu na simu yake anafichaficha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…