Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Huna mke.hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atarejeshwa saa 6 ama saa 8 usiku kaa tu kimachale na jiandae kutoa huduma ya kwanzaNtawapa mrejesho Amerudi saa ngapi home na majibu yake yatakuwa ni yapi saa tatu na Nusu sasa hajarudi
Mtoa madaz anajifanya kusema et kwakua yeye anachepukaaa labda ndo sababj...Imekaa vyema. Nimeipenda hii. Ni lazima siku moja moja utikise kibiriti na aone kwamba chako kimejaa Full!
Umekula? Mchepuko wako nae anasemaje?Ntawapa mrejesho Amerudi saa ngapi home na majibu yake yatakuwa ni yapi saa tatu na Nusu sasa hajarudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ntawapa mrejesho Amerudi saa ngapi home na majibu yake yatakuwa ni yapi saa tatu na Nusu sasa hajarudi
Mtoa madaz anajifanya kusema et kwakua yeye anachepukaaa labda ndo sababj
So anataka kufunika kombe
Kalale kwa mchepuko, kesho Alfajiri rudi home uje umsubiri aje.Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.
Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,
Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.
Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,
Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,
Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife
Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.
nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.
itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,
Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,
Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .
Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,
Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.
Nawasilisha...
Haina noma... USIFANYE KOSA LA KUACHA AJUE KUA ,HUJAJUA AMEKUKOSEA.Thanks hii msg ntaituma ikifika saa sita usiku
Umekula? Mchepuko wako nae anasemaje?
Wifey wako atakuwa anajua uchepukaji wako, kaamua kukausha ila nae ana justify kwa kuchepuka, Ni vigumu sana kwa mke kukubali kugongwa nje kama hajaona cheatings za mume.