Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg
ooo bless you !!
 
Ulilala nje nini? ... unasutwa na matendo yako?

NA NYIE WAPASHU MTU ASIUSEMEE MOYO KAMA MAPENZI YANAONGEEZEKA ULITAKA AKALE LIMAU...BASI MPM UFURAHI NA WEWE LOH!!!

so sweet of you mwanahalisi

thank you
 
Last edited:
mh nakuvulia kofia bado upo?

Imeandikwa mtua ataachana na baba na mama yake, ataambatana na mkewe nao wawili watakuwa mwili mmoja. Bado niponipo bana, endelea kuivua hiyo kofia, usiivae tena! Hahahahahah! Masa na Burn wameshafulia, na wewe ushavua kofia, namsubiria na yule polisi amwage manyanga nibakie peke yangu.
 
Nitafutie yule mdogo wako nae anipende maana jinsi ulivyo bomba napenda sana uwe ashem wangu, inaonyesha hata mdogo wako ni bomba kama wewe. Mimi sikutaki wewe kama wengine wanavyofanya hapa. Poa shem wangu wa ukweli
 
Nitafutie yule mdogo wako nae anipende maana jinsi ulivyo bomba napenda sana uwe ashem wangu, inaonyesha hata mdogo wako ni bomba kama wewe. Mimi sikutaki wewe kama wengine wanavyofanya hapa. Poa shem wangu wa ukweli

Binamu ongea vizuri na mimi, nikuwekee mambo sawa. Wala hujakosea, mdogo wake ni bomba ile mbaya, kidogo siku moja shetani anizidi nguvu.
 
Imeandikwa mtua ataachana na baba na mama yake, ataambatana na mkewe nao wawili watakuwa mwili mmoja. Bado niponipo bana, endelea kuivua hiyo kofia, usiivae tena! Hahahahahah! Masa na Burn wameshafulia, na wewe ushavua kofia, namsubiria na yule polisi amwage manyanga nibakie peke yangu.

Chrispin naona na vifungu vya bible unavyo kws wingi endelea kutoa mistari
 
......and the winner is Chrispin.....!
mkuu nina pingamizi na haya matokeo.Nimeonewa sana,nimedhalilishwa sana katika kinyang`anyiro hiki...mnadiriki kutangaza matokeo bila kuniuliza,nimetafakari sana,nimefikiria sana na nimeamua kuandika kupinga matokeo ya chrispin kuwa mshindi..tehhhh
 
mkuu nina pingamizi na haya matokeo.Nimeonewa sana,nimedhalilishwa sana katika kinyang`anyiro hiki...mnadiriki kutangaza matokeo bila kuniuliza,nimetafakari sana,nimefikiria sana na nimeamua kuandika kupinga matokeo ya chrispin kuwa mshindi..tehhhh

Nasikia uzembe wako ulisababisha foleni kubwa ya magari kule Ubungo, nenda kazini afande, mambo ya mapenzi tuachie wenye fani.
 
Back
Top Bottom