Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Mwajuma, jiwe moja tunaweza kupikia chakula (Hapana bibi).

Mwajuma, mawe mawili twaweza kupikia chakula (Hapana bibi).

Mwajuma, Mawe matatu twaweza kupikia chakula ( Ndiyo bibi, chungu kitakaa).

FL1, sasa inabidi uwe na mawe matatu. Moja tayari ni mume wako, la pili ni bwana wa kukupa pesa mkikwama ndani na wa tatu incase mumeo akikuacha, basi jamaa anakudaka haraka sana.

Haya, ngoja Masa na kundi lake wakuchezee ngoma ya kikwao ya CHAGULAGA yaani "Chagulaga mwana Mayu". Itabidi tu uchague wawili ili YAISHE......... Mumeo itabidi tu avumilie maana ndiyo DIGITAL LOVE umeianzisha.......

Mwenye pesa? Pesa hapa ni nyumbani kwake. Na ndicho alichonipendea kama ulikuwa hujajua.
 
Hongera Firstlady. uzuri wenyewe ni kwamba Mr President keshapata message na wengine wanajichoresha tu.


Nilioshaupata ujumbe muda mrefu sana. Na hao wanaojichoresha nawaonea hura sana. Kama unamjua mmoja wao please nisaidie kumpa pole. By the way, ulifanikiwa kupata ile kitu?
 
Hongera Firstlady. uzuri wenyewe ni kwamba Mr President keshapata message na wengine wanajichoresha tu.

Rais yupi? Kama wa Gabon, kashafariki. Obama hana time. Ufaransa kashaowa. Mbeki sijui kama atataka kuongeza zaidi. Kenya Rais wao ni Mzee na anapenda mwanamke KIPOLI (Crispian upo hapo Mkuu? Polygon figure and face), ............ na wa kwetu kwa sasa ni Mgonjwa. Au ulikuwa unamaanisha nani?
 
...worry you not, by the time anarudi toka huko vijijini thread hii itakuwa kule kapuni...

Kwenye sports Manure wananibore bana, kila refa anawapa dkk za nyongeza wasawazishe.

Huyu 1stLady mwenye thread hii bahati yake sio 1stlady wangu hapa,...leo ndio ingekuwa kiama chake na hizo nyumba ndogo zake zinazojibishana nae humu...🙂

utajiju
ananipenda nampenda hanifanyi lolote 🙂🙂one love
 
Rais yupi? Kama wa Gabon, kashafariki. Obama hana time. Ufaransa kashaowa. Mbeki sijui kama atataka kuongeza zaidi. Kenya Rais wao ni Mzee na anapenda mwanamke KIPOLI (Crispian upo hapo Mkuu? Polygon figure and face), ............ na wa kwetu kwa sasa ni Mgonjwa. Au ulikuwa unamaanisha nani?

Alimaanisha His Excellency President Chrispin. Siyo polygon shapes za kule kwetu mkuu, nimeikumbuka ya Mwamafupa.
 
...worry you not, by the time anarudi toka huko vijijini thread hii itakuwa kule kapuni...

Kwa kweli mazee itabidi ifichwe kwa heshima ya Mh Spika

Kwenye sports Manure wananibore bana, kila refa anawapa dkk za nyongeza wasawazishe.

Mwaka huu ameshitukiwa Ferguson lazima FA watamwangukia, mwaka si wao huu. Tunataka mchukua viera kama cover ya Essien akiwa kule ACON

Huyu 1stLady mwenye thread hii bahati yake sio 1stlady wangu hapa,...leo ndio ingekuwa kiama chake na hizo nyumba ndogo zake zinazojibishana nae humu...🙂

Hahahah una mawivu kumbe mpwa? pole pole
 
Back
Top Bottom