Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 50
Mpwa, ni typing error au umedhamiria? Tigo au Figo?
Sikutaka kusema chochote katika hii thread,lakini wewe umenitoa pangoni,you made my day man.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa, ni typing error au umedhamiria? Tigo au Figo?
It might be true depend on her/his intension!Public display of affection is so narcissistic.
Aahahahahaha..kwa hiyo umekubali ni ushindi wa mezani siyo? Aahahahahaha...haya wewe endelea kusherehekea huo ushindi wako huku wengine wakichinja
hahahhahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa yaani umenichekeshesha hapoo FL ile mbaya hivi hujajuaaa humu kuna kila aina ya ubongo? usijali waache wao watanie lakini wako wa ubani anajua unachomaanisha, nimeipenda style yako ya kusema nakupenda kwa mumeo.Hongera
You hit it right on the head.....kwikwikwikwikwiiiiiiiii.....ila amini usiamini kuna mijitu inachukulia mambo ya kwenye internet very seriously kwa hiyo sitashangaa kukiwa na jitu au mijitu itakayo develop some type of emotional attachment na huyo so called Firstlady1
You hit it right on the head.....kwikwikwikwikwiiiiiiiii.....ila amini usiamini kuna mijitu inachukulia mambo ya kwenye internet very seriously kwa hiyo sitashangaa kukiwa na jitu au mijitu itakayo develop some type of emotional attachment na huyo so called Firstlady1
hahahhahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa yaani umenichekeshesha hapoo FL ile mbaya hivi hujajuaaa humu kuna kila aina ya ubongo? usijali waache wao watanie lakini wako wa ubani anajua unachomaanisha, nimeipenda style yako ya kusema nakupenda kwa mumeo.Hongera
I am proud of my 1ST LADY shes next to me, CHRISPIN anabeep hapa kumbe hata voucher hana?
dahhh Nguli kitambi na outcome za mahabat ya wifi yako 1st lady.nini kuongoza magari nauza matikiti maji pale geti la mwananyamala hospital lakini ndo kitu hicho nakimiliki.pole mdogo wanguna ww polisi umetokea wapi? kaongoze magari kwenye foleni huko mtoto utamweza huyu?? mtu mwenyewe umenenepeana ka nini...round 1 hoi.
Nikiwemo mkuu, sitamwacha FL1 mpaka kieleweke. Kayataka mwenyewe bana.
Kaka natumia post paid tena ya TiGO. Siishiwi!
Yaani kuna watu wataulizwa kama wana mke na watasema ndiyo ninaye?
Akiulizwa jina aseme nani? Firstlady1? Na mapenzi yao ni DIGITAL LOVE?
Nawapa HONGERA. Na kibaya zaidi wengine watatoboa SCREEN zao wakiona majina ya Wapinzani wao. Ni kama mtoto anavyotaka kumkamata Mdudu Yo Yo kwenye Screen. Kazi kweli ipo. Ngoja tuone mshindi.
It might be true depend on her/his intension!
kwi kwi kwi my intension ni my husband ambaye yuko hapa hapa 🙂
kwi kwi kwi my intension ni my husband ambaye yuko hapa hapa 🙂
Poor thang...look what she done did to her innocent self. I bet she didn't know what she was getting herself into....
kwi kwi kwi my intension ni my husband ambaye yuko hapa hapa 🙂
1st Lady unamwona huyu? anatumia post paid YA....? anatabia mbaya huyu.
Mpwa nilipitiwa nadhani hii thread hataisoma.....mzee kwenye sports umesepa....nasikia kwenye msimamo mpo mbaaali?