Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

This is very sweet of you. Your husband is lucky to have a wife like you. I wish you both more happy days together.

Wakina dada/mama igeni mfano wa Firstlady1. Kazi ya kuwa romantic siyo ya mwanaume tu!
 
Lots of men here needs Potassium Bromide ........loooh (Bromism) is bad
 
This is very sweet of you. Your husband is lucky to have a wife like you. I wish you both more happy days together.

Wakina dada/mama igeni mfano wa Firstlady1. Kazi ya kuwa romantic siyo ya mwanaume tu!

Tunakushukuru sana ,sisi ni wanandoa wa kuigwa tunapendana sanaaaaaa
 
This is very sweet of you. Your husband is lucky to have a wife like you. I wish you both more happy days together.

Wakina dada/mama igeni mfano wa Firstlady1. Kazi ya kuwa romantic siyo ya mwanaume tu!

You are right Mwana I am the luckiest man in the whole world to have such a caring, hugable, loving and beautiful wife. I love you FL1
 
Last edited by a moderator:
Love you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.

Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.

Luv u my carpet and ceiling board.
Chris.

haaaa eeeeheeeeeeeeeee,...!!
Mistari hiyo safi sana.
 
You are right Mwana I am the luckiest man in the whole world to have such a caring, hugable, loving and beautiful wife. I love you FL1

Mpwa u seriously need Potassium Bromide!!!
 
Lots of men here needs Potassium Bromide ........loooh (Bromism) is bad

Mkuu huwa unanipa zoezi la ku google kila post yako, thanks anyways nafikiri kigogo na crispin wawe wa kwanza kupatiwa hii kitu maana.
 
Kabla ya kutimiza miaka kumi pamoja kwenye ndoa, messages kama hizi zilikuwa verbal. Sasa sijui ndio kuchokana ama vipi, baada ya kumi na tano na ushee... wanachoreana I love you kwenye mdoli. Na most likely hata mjamaa hatakuwa na time ya kujibu. lol! You need to keep it close, zero distance as it was on day one.
 
Nawashangaa wanavyoleta utani wakatu sisi tunaoneshana malavi davi, achana nao tuhamie kwenye PM maana hapa wamejaa mafisadi wa ndoa za watu.

Ha ha ha ha mafisadi wa ndoa!....LOL! Si unajua Wabongo na maluvluv ya hadharani huwa wanayachukia. Mkishikana mikono au mabusu makali makali barabarani au kuja JF na kutaka kuonyesha penzi lenu zito...kwa Wabongo ni NOMAA!, bora muhamie faragha kufanya vitu vyenu. Kila la heri.
 
Mkuu huwa unanipa zoezi la ku google kila post yako, thanks anyways nafikiri kigogo na crispin wawe wa kwanza kupatiwa hii kitu maana.

Kaka kwani mimi nimekuwa Bluray?

Kifupi Potassium Bromide is regularly prescribed to suppress the men’s sexual feelings.

Hahahahaahahahahah
 
Kaka kwani mimi nimekuwa Bluray?

Kifupi Potassium Bromide is regularly prescribed to suppress the men’s sexual feelings.

Hahahahaahahahahah

Masa,
Mbona sijakuona kutolea maelezo Washindi wa Noble Price wa jana? Maana nilikuwa naona vimikiamikia vya DNA na sijui upuuzi gani nikasema haya makubwa, nikajizimia TV na kuendelea na maswala mengine. Sasa ukiandika hayo, itabidi kijana Burn akamuulize Mganga wa Kinyeji wa Urambo yaani Mwalimu Juma.....
 
Masa,
Mbona sijakuona kutolea maelezo Washindi wa Noble Price wa jana? Maana nilikuwa naona vimikiamikia vya DNA na sijui upuuzi gani nikasema haya makubwa, nikajizimia TV na kuendelea na maswala mengine. Sasa ukiandika hayo, itabidi kijana Burn akamuulize Mganga wa Kinyeji wa Urambo yaani Mwalimu Juma.....

Hahahahaahha Burn ni mshikirikina sana siajabu amemwendea FL1 Bagamoyo! akitoka huko Tabora.

Ile ya Nobel prize ngoja niifungulie thread.....by the way is big findings wameweza kuelezea " how chromosomes, protect themselves from degrading when cells divide, its a break through on cancer research and the aging process.
 
Hahahahaahha Burn ni mshikirikina sana siajabu amemwendea FL1 Bagamoyo! akitoka huko Tabaora

ha ha haaa!! Ina maana Burn anatumia NSAMBA??? Maana Nsamba ni Limbwata la Kiume la Wanyamwezi ati.......
 
Kaka kwani mimi nimekuwa Bluray?

Kifupi Potassium Bromide is regularly prescribed to suppress the men’s sexual feelings.

Hahahahaahahahahah

Bluray is the king wa misamiati..nimemvulia kofia na soksi......
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg


First lady that is way to go honey!......nothing but LOVE!....
 
Ulilala nje nini? ... unasutwa na matendo yako?

NA NYIE WAPASHU MTU ASIUSEMEE MOYO KAMA MAPENZI YANAONGEEZEKA ULITAKA AKALE LIMAU...BASI MPM UFURAHI NA WEWE LOH!!!
 
Back
Top Bottom