Dua la kuku halimpati mwewe.
Utanasa tu kwenye himaya yangu wewe ruka ruka tu utakuja kutulia tulii.
Nikupe ushahidi kama unataka?
niruke ruke mie mwewe
kwanza kwa taarifa yako simwachi ng'ooooooooooooo
utakuwa ka fisi kusubiri mkono wa mtu udondoke and the arm never fell
Hivi huoni raha iliyoje kula na nduguyo mm nataka kipapatio tu paja sitaki mie.
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
nipe ushahidi Binamu
aaah asante wife..huku niliko nakuwaza wewe tu ..hivi umejuaje na mimi nimekumisii nakupenda my life time partner...
Halafu wewe mama nakumbuka ile siku nilopokudondokea eti uliniambia hunitaki kumbe sitaki nataka dah,now we have three years 2geza enjoying our YES I DO...love you too my strawberry....Halafu unalikumbuka lile first kiss letu pale......
Asante mke wangu kwani picha kwangu aifutiki kwenye akili yangu pale tulipokuwa kanisani tunasaini cheti ukaniambia sisaini kwa maneno ya chini du sitasahau kwani ulini joke. du pia pale tulipokuwa ukumbi uliposhuka kucheza music na babu yangu eti ndio mumeo halali. mke wangu sitakuacha milele kama maandiko yalivyo pia mungu atuzidishie penzi letu kila siku unione mpya na mimi nikuone mpya i say: I love you so much.. najua hukujua kama mimi nimo humu ila watu wengi wanakuuliza mumeo yupo waambie yupo. asante kwa kuni publish katika JF yetu tuijenge iwe safi zaidi. asante mke wangu
naomba uishie hapo hapo usiniharibie swaumu yangu....................am really mad today
play safe Fide!!!!!
Hahahaha alamba alamba ham ham, dedication Charger ya kobe
kwani mmemwachia??can she express herself, can't she?
yeye amesend message kwa mme wake... nyie wote mkarukia... kwani nyie niwasukuma eeeh? ....
Where is Bluray!! nimemithi vingereza!Public display of affection is so narcissistic.
Where is Bluray!! nimemithi vingereza!
ha ha ha we Bluray aoe?? maana kwa vitu alivyokua anvipinga kwa nguvu zote ni uwepo wa 'Mungu" na Ndoa!! any peiple change!! Thank na nyingine nimekugongeakaenda kuoa Kimey........
akirudi sio vingereza tena ni kindengereko kwa kwenda mbele
ha ha ha we Bluray aoe?? maana kwa vitu alivyokua anvipinga kwa nguvu zote ni uwepo wa 'Mungu" na Ndoa!! any peiple change!! Thank na nyingine nimekugongea
sasa wewe fideli achanoma, yeye kapenda kutumia njia hii msimvurigie bwana ... u know when u love someone you wanna everyone to know that you are in love with that person... and may be this is why she wanted to put it here....Sisi ni wavutaji.
Kama ametuma kwa mmewe si angetumia njia ingine.
Yeah under the sun everything is possible!!heeeee kaenda kutafutwa mwali huko.....yote yawezekana bana!!!!