Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma Nature na Diamond nani zaidi?

Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma Nature na Diamond nani zaidi?

Khadija Mtalame

Senior Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
185
Reaction score
715
wakuu kwema?

Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma nature na Diamond nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka nikataka kumzaba makofi.

ebu tumsaidieni nani mkali kati ya hio miamba miwili hapo juu,then nitampa link asome comment za watu ambao ni great thinkers

"STUPID IS KNOWING THE TRUTH,STILL SEEING THE TRUTH BUT BELIVE THE LIES"
 
Apo mtaan kwenu sku ukiskia juma nature kaja gengeni utaenda kumuangalia...? Na ukiskia diamond yupo gengeni utaenda kumuangaLia...?
 
Ww na huyo dogo wote hamna akili.. inawezekana dogo kakuzid akili sana
 
wakuu kwema?

Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya "Juma nature na diamond" nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka nikataka kumzaba makofi.

ebu tumsaidieni nani mkali kati ya hio miamba miwili hapo juu,then nitampa link asome comment za watu ambao ni great thinkers

"STUPID IS KNOWING THE TRUTH,STILL SEEING THE TRUTH BUT BELIVE THE LIES"
Ungemwambia Civilian Coin ndio bora
 
Apo mtaan kwenu sku ukiskia juma nature kaja gengeni utaenda kumuangalia...? Na ukiskia diamond yupo gengeni utaenda kumuangaLia...?
Umetoa tafsiri ya magreat thinkers kwakweli ,nadhani hapa ndipo haswa kipimo cha kujua Nani mtabe, pressure yakwenda kumuangalia msanii akija yaani,au kubabaika ukikutana nae,
 
Back
Top Bottom