Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toka hapa mamndogo usinitie hasira mdogo wangu mwenyewe hajala#Kiroboto msitu wa vina achana na hiyo kitu aiseee
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaSir Nature ni mtoto wa Uswaz aliyekstaa kubadilika.
"mpaka leo""zaaali laaa mentali limetokea wakati mimi nna njaa[emoji445]"
"nikapata demu mkaliii,,nakuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaa[emoji444]"
Nature kipindi chake alikua mkali.
Dogo yuko vizuri kichwani niwewe tu hujajua kuendana nae.wakuu kwema?
Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya Juma nature na Diamond nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka nikataka kumzaba makofi.
ebu tumsaidieni nani mkali kati ya hio miamba miwili hapo juu,then nitampa link asome comment za watu ambao ni great thinkers
"STUPID IS KNOWING THE TRUTH,STILL SEEING THE TRUTH BUT BELIVE THE LIES"
🤣🤣🤣🖐🖐