OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Siku ya tatu unanitafuta mwenzio kwa mapanga na marungu kisa deeeeeeeeemu. 🤣"eti dear kati ya mimi na huyu fala unampenda nani?"
..."Natureeeeeee"
Msitu wa vina,Kiroboto,wali nazi,mwanaume halisi. Frankly huyu ndio msanii pekee niliyewahi kwenda kwenye tamasha lake. Nilienda kula Ugali akiwa na kina Soggy, Jay Mo pale SingidaAcheni kumlinganisha Sir kibra ,Juma nature na vitu vya kijinga
Yaa atakaebabaika akikutana nae jua uyo ndo starUmetoa tafsiri ya magreat thinkers kwakweli ,nadhani hapa ndipo haswa kipimo cha kujua Nani mtabe, pressure yakwenda kumuangalia msanii akija yaani,au kubabaika ukikutana nae,
Huwezi laumu maana Juma Nature landa sio generation yake. Ni sawa generation ya akina Marijani nayo ikusikie unawatajia akina Juma Nature watakushangaa pia.wakuu kwema?
Leo nakutana na mtu ananiuliza eti kati ya "Juma nature na diamond" nani zaidi? nikamuangalia nikamuuliza una umri gani kaniambia kazaliwa 2002, nikacheka sana halafu ni mbishi mpaka nikataka kumzaba makofi.
ebu tumsaidieni nani mkali kati ya hio miamba miwili hapo juu,then nitampa link asome comment za watu ambao ni great thinkers
"STUPID IS KNOWING THE TRUTH,STILL SEEING THE TRUTH BUT BELIVE THE LIES"
Is come wiz ze sheepHii lugha hii 🤧
hahahaha wanalingana umri haooMbona unafananisha vitu ambavyo havifanani?
Alaf ww ndo unayeleta utoto, unabishana na mtu kazaliwa 2002😄😄
😂😂 nikajua umeandika lyrics za Still ya dre...Stupid is knowing that you posted on the wrong forum, still not correcting your that mistake but still believing on the gossips on your post[emoji4]
No offense intended [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"eti dear kati ya mimi na huyu fala unampenda nani?"
..."Natureeeeeee"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn Jo?Hii lugha hii [emoji1784]
It is what it isHii lugha hii 🤧
nyakati mbili tofauti eeh mbona nyerere ni Rias wa kwanza lakini mpaka leo ndio baba lao?Mlikuwa unabiashana huo ubora katika nyakati zipi..???? sababu hao ni wasanii katika nyakati mbili tofauti
hahahahhahahahaha khasanteJuma nature kiukweli alikuwa moto sana.....alikubalika na rika zote; watoto, vijana na hata wazee kutokana na aina yake ya maisha isiyokuwa na mambo meengi ya kimagharibi na kuyaishi maisha yetu ya hali ya chini. Ila kwa upande wa pesa hakuwa mjanja sana kuzimake km alivyo diamond sasa hv.
Ujanja wa mind wa kupiga mapesa (struggles) unamfanya, automatocally, akubalike kipindi hiki ila nature alikubalika mioyoni kiukweli kweli.....mpaka leo jamaa bado ana watu
Siku ya tatu unanitafuta mwenzio kwa mapanga na marungu kisa deeeeeeeeemu. 🤣
Mimi kwenye PC na flash yangu nina tracks za Nature lakini za Diamond sina hata kwa bahati mbaya
khsante