kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Ukitaka kuruka Agana na nyongaShe my ex girlfriend for last five years.
Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of Tanzanian embassy's huko majuu.
Should I sleep with this lady wakuu?
Dah. nyie ndio mnaotukatisha tamaa za kuoa.She my ex girlfriend for last five years.
Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of Tanzanian embassy's huko majuu.
Should I sleep with this lady wakuu?
Wasela wa Kataa ndoa, utawaona hapa muda si mrefu. Huwa hawechezi mbali na mada kama hizi, ili waendelee kujikusanyia points za bure kabisa na hivyo kuongeza nguvu kwenye hoja yao ya Kukataa ndoa!Dah. nyie ndio mnaotukatisha tamaa za kuoa.
Good bt bora ungemuliza mama mazaz hili swali huwa wana majibu mazurShe my ex girlfriend for last five years.
Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of Tanzanian embassy's huko majuu.
Should I sleep with this lady wakuu?
Imekaa vizuri