Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

She my ex girlfriend for last five years.
Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of Tanzanian embassy's huko majuu.
Should I sleep with this lady wakuu?
Hakikisha Ndoo ya kuweka Mavi yako Ukiukweka / Ukinya kwa Kulazimishwa pamoja na Mafuta ya P Diddy hayako mbali nawe tafadhali sawa?
 
Back
Top Bottom