Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

Hapa naona panya kawekewa mtego anakaribia kunasa.
We jichanganye tu shauri zako
 
Kijana wa hovyo kabisa, if the issue nikuchachua umeshindwa kulipa lodge hata ya 30k tu unaenda ku risk maisha yako ?
Ndo nyie mkifumwa mnaliwa mtungo
 
Mkaze lakini mazingira tofauti na nyumbani Kwa Mwanaume mwenzio,,,hakikisha unamvuruga haswaa Kwa kitombo cha Machungu matamutamu Ikibidi pia pitisha chuma Kwa tope Tia 4WD(bebi oil) itapenya tu....!!!kabla ya yote tumieni kamvinyo na msosi mzuri
 
"Anything with cock, is easy to fool" #Game of thrones
 
Watoto wa genZ ni vilaza sana ,sasa ukija kufumwa humo ndani na jamaa likaamua kukupaka mafuta na likazàmisha chupa ya Balimi katikati ya makalio yako baada ya kukushughulikia na mkuyenge wake ,uje ulie useme haki za binadamu .
Pumbav
Mimi nikkikufuma nakata pumbu nazipika supu na nakupa uzile

Kuna umuhimu mkubwa wa watu kutengeneza kampuni binafsi za upelelezi (private detectors ) nchini humu , naamini soko bado kubwa mno , kuna watu wanaishi kwenye ndoa ila wanahisi wenza wao wanachepuka ila wanakosa means za kuwafuma live na kuprove hili .
 
Nenda kafupishe muda wako wa kuishi.
 
Hapa bado mnanishauri harusi aaaah wee
 
Usijali mkuu ukifika mda wa kuomba Maji usisite kutuletea udhi 🤣tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…