Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

Baby oil utazikuta kwake
 
Sasa kizungu ni cha nini mkuu na akati ukijui.
 
while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of Tanzanian embassy's huko majuu.
Najua unachangamsha genge, kama ingekuwa kweli usingefungua code kirahisi hasa hawa jamaa mara nyingi ni TISS!

Kama ni kweli ,wewe ni bonge la chizi na taahira.Jamaa litakuwa limeweka tracker kibao ambazo mke hawezi kujua na wewe huwezi kujua!
 
Aisee ni hatari sana acha hilo jambo linaweza likatokea jambo lolote usilolitarajia utajutia maisha yako yote. Halafu ya nini uhangaike na mke wa mtu ? Acha acha acha. Kama ni kweli, lakini kama umeamua kuchangamsha watu humu sawa.
 
Oyaa naomba nikutukane kidogo......
Zobanangai mkubwa wee
 
Mume mtarajiwa yupo nje akitafuta maisha yeye anachat na mlamba lips asiyejua hata faragha ni nini.
 
Mpaka hapo kazi ya jamaa ushaijua but still unajizima data haya
 
Jiandae pia shingo kutengana na kiwiliwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…