Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Hongera sana mtoto mzuri! kwa hiyo baafae mtakwenda kwenye "mwezi wa asali"! karibu sana.Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
hakikisha unabadili ID baada ya hapo maana nakuja kukujua.......yote kwa yote kila la heriHabarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Lete kadi ya mwariko tuje hahaaaaa, hongera saanaHabarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Humu naamini kuna wifes/husbands materialKama masihara lilitolewa tangazo watu wakaponda akatokea mjanja mmoja serious akapewa nafasi mara posa hiyo mahali ikalipwa na ndoa Leo inafungwa. Sasa nyie mliokuwa hamuamini kwamba watu wanapata wenza humu jf na kuoana ndo muamini tangu sasa na kama hamjapata tafuteni wanawake na wanaume wamo humu. Huwezi kuwa unashinda jf halafu unaenda kutafuta mchumba barabarani tafuta humuhumu. Kila la kheri moniccca ushuhuda wako unaiongezea thamani love connect.
Wamejaa sana sema na matapeli wamo ni kama mtaani na sehemu yoyote tu. Ndo maana ya jamiiHumu naamini kuna wifes/husbands material
You are rightWamejaa sana sema na matapeli wamo ni kama mtaani na sehemu yoyote tu. Ndo maana ya jamii
"NDOA, NDOANO"Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.