Leo naolewa

Leo naolewa

Karibu sana uwanjani shurti uwe mtiifu kwa mumeo zile safari zako kwa mashost zako zipungue!! Teh teh! Vipi yule bi shost atakuja? Hahah usijekuwa ka yeye kuwa mwaminifu kwa mumeo Na MUNGU atakusaidia awape maisha marefu na mumeo muwe na ndoa njema!uvumilivu ni moja ya nguzo ya ndoa mama siyo leo mumeo anamastress kakupa kimoja au hajakuridhsha unaamka umevuta mdomo hata kuongea hutaki !loh! Teh teh ! !KILA LA KHERI!!
 
duu watu mna maamuzi,hivi na dunia hii unaazaje kujifunga kwa mtu mmoja??..umeyataka mwenyew sio baada ya wik unakuja hapa kujaza serva kwa malalamishi yenu,watu mlioko kwenye ndoa mnamatizo sana utasema mnalazimishwaga.
Jombaaa, sema ukweli tu kuwa unamatatizo ya kiufundi ndo maana unaogopa ndoa...mwanaumegani wewe unaogopa challenge?
 
Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.

Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.

Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
wewe mimi nipo feri hapa naelekea hapo kanisani ukinidanganya ntakutafuta mpaka nikupate
 
Usitumie hiki kitu kwenye ndoa yako Mamy hutachukua mda humo, hata kama unajiamini nishushe Mamy na usitumie hiyo sentensi kwa Mr hata kama umeshatumia usirudie ukiwa ndani ya ndoa .. Wapole sana hawa watu kabla hujaingia ukishaingia ni story ingine na mambo mengine ..

Umemshauri vizuri sana. That is the rule of thumb. Kwenye ndoa sio vita....hakuna mashindano. Kama hata badilika na kuwa "a wife" to her husband, then she is already a failure. Ninamtakia kila la heri na kwa vyovyote vile amefanya uamuzi mzuri kuolewa
 
Habarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.

Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.

Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Ndoa si lele mama....na kukesha humu jf
 
hongera monicca sasa ivi utakuwa empty full night jamaa anajisevia tu vya halali uwiiiiiiiiii
 
hongera moni,ni matumainu yangu hiyo master yako haita interfere familia yako mpya,maana siku huzi kuna kasumba ya wadada wasomi kutaka ku-lead kila kitu kwenye ndoa,cheza nafasi yako na mumeo acheze yake....Mungu awape uhai mrefu wa ndoa na umri wenu,ili muweze kushuhudia hata maisha ya vitukuu vyenu.....amin
 
Umemshauri vizuri sana. That is the rule of thumb. Kwenye ndoa sio vita....hakuna mashindano. Kama hata badilika na kuwa "a wife" to her husband, then she is already a failure. Ninamtakia kila la heri na kwa vyovyote vile amefanya uamuzi mzuri kuolewa
Mungu amsaidie
 
Karibu sana uwanjani shurti uwe mtiifu kwa mumeo zile safari zako kwa mashost zako zipungue!! Teh teh! Vipi yule bi shost atakuja? Hahah usijekuwa ka yeye kuwa mwaminifu kwa mumeo Na MUNGU atakusaidia awape maisha marefu na mumeo muwe na ndoa njema!uvumilivu ni moja ya nguzo ya ndoa mama siyo leo mumeo anamastress kakupa kimoja au hajakuridhsha unaamka umevuta mdomo hata kuongea hutaki !loh! Teh teh ! !KILA LA KHERI!!
Ha ha ha maneno kuntu .. Na kuna wakati hata kudinda haidindi ajiandae
 
Hongera sana japo ni mchoyo maana ni kama umetushtukiza na hatujajiandaa na zawadi ila jana ndio siku yako ya mwisho kulala na pichu.
 
Hongera sana #moniccca
Mungu akujaalie heri ktk maisha mapya yanayohitaji upendo na uvumilivu
 
Back
Top Bottom