Leo naolewa

Leo naolewa

Kila la kheri Monicca katika ukurasa huo mpya dear..... M'Mungu ajaalie ndoa yako ijae furaha,upendo na amani. Kulala bila pichu Oyeeeeeee!!!
So funny[emoji12] [emoji12] [emoji12] bila pichuuuu.
!
 
Mnaongoza kwa kukandia watafutaji. Utaskia eenh mme hapatikani kwenye mitandao. Mara ooh mtaani kwako umekosa mke? Sasa mnatafuta nini hapa wakati hapawahusu?
Watu wanapaswa kuelewa mwenza anapatikana popote.

Jf kwenyewe kumejaa watu kibao waelewa na wastaarabu
 
Back
Top Bottom