Hongera sana funza la kiumeni...ha ha ha ina maana mimi ni maskini? nina Imani watanzania level yangu hawafiki asilimia 5 ila navyoona mie ingawa sijafika napotaka
Kwahiyo kupata division one ya point 10 uliwaprove wrong waliokupeleka pale?Vipaji katika hizi shule ni wale wanafunzi wenye akili kupita kiasi cha kawaida
Kwanini unajiita funza?mengine mengine
Basi njoo kwangu upate pumziko la roho na nafsiLabla angekua na kibamia, tango hapana kwa kweli
Akinitaja mimi utakuwa na uwezo wa kuhendo stress?Ushawahi kudate mademu wangapi JF? Nitajie wawili
Kwa mfano ungekua umesomea kozi ambayo haiajiriki halafu hauna namna ya kupata mtaji ungefanyaje ili kujikwamua kiuchumi?Sijui kama unafahamu level yangu ya Maisha ila ukitaka kufikia level yangu ambayo na mimi pia bado nahangaika kuipandisha maana sijafikia ndoto zangu ile 100% ni kufanya kila jambo kwa bidii na kuhakikisha unapata elimu ya kutosha na sahihi. Pia jitahidi sana kujifunza vitu vingi kila siku haswa nje ya mfumo wa kawaida wa elimu utapata maarifa makubwa sana kimaisha
Jifunze jifunze jifunze. Humu JF kuna madini sana ukipatumia positively unatoka kimaisha. Nchi yetu ni simple sana kufanikiwa kuliko nchi nyingi nilizozunguka duniani
Nimesoma banking, procurement, monitoring and evaluation, agribusiness na management
Kwasababu yeye ni funza wa kiumeKwanini unajiita funza?
ππππBasi njoo kwangu upate pumziko la roho na nafsi
Nadhani nikiwa darasa la kwanza ila kuna siku nilipomaliza darasa la saba nilisafiri kwenda moro kwa ndugu yangu choo kilikuwa cha nje nikawa naogopa kutoka nje (kulikuwa na vibaka sana mitaa hiyo - mawenzi) mkojo ulinibana sana nilipopitiwa nikalimwaga hiyo ndio ilikuwa mara ya mwisho kujikojolewaUliacha kukojoa kitandani ukiwa na umri gani?
Ofkoz leo usiku ningekujeruhi kwa mgegedoAkinitaja mimi utakuwa na uwezo wa kuhendo stress?
Mbona unamjibia we secretary wake?Kwasababu yeye ni funza wa kiume
Nikifanya nini nitapata privilege ya kukutumia kama referree kwenye CV yangu?Nikumbukwe kwa kutenda mema na kuaminiwa na wengine. Nimekuwa nina impact kwa watu wengi sana hapa duniani na nimewafundisha wengi sana kuhusu Maisha na wengi wanarudi na kushukuru. Nina watu Zaidi ya 20 ambao mimi ni referee kwenye CV zao
Hapana. Mi funza mwenzie. Huwa tuna ujamaa tukiwa tunashambuliwa na waasiMbona unamjibia we secretary wake?
Hahahaa.Kwahiyo kupata division one ya point 10 uliwaprove wrong waliokupeleka pale?