Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi

Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi

Sijui kama unafahamu level yangu ya Maisha ila ukitaka kufikia level yangu ambayo na mimi pia bado nahangaika kuipandisha maana sijafikia ndoto zangu ile 100% ni kufanya kila jambo kwa bidii na kuhakikisha unapata elimu ya kutosha na sahihi. Pia jitahidi sana kujifunza vitu vingi kila siku haswa nje ya mfumo wa kawaida wa elimu utapata maarifa makubwa sana kimaisha

Jifunze jifunze jifunze. Humu JF kuna madini sana ukipatumia positively unatoka kimaisha. Nchi yetu ni simple sana kufanikiwa kuliko nchi nyingi nilizozunguka duniani
Kwa mfano ungekua umesomea kozi ambayo haiajiriki halafu hauna namna ya kupata mtaji ungefanyaje ili kujikwamua kiuchumi?
 
Uliacha kukojoa kitandani ukiwa na umri gani?
Nadhani nikiwa darasa la kwanza ila kuna siku nilipomaliza darasa la saba nilisafiri kwenda moro kwa ndugu yangu choo kilikuwa cha nje nikawa naogopa kutoka nje (kulikuwa na vibaka sana mitaa hiyo - mawenzi) mkojo ulinibana sana nilipopitiwa nikalimwaga hiyo ndio ilikuwa mara ya mwisho kujikojolewa
 
Nikumbukwe kwa kutenda mema na kuaminiwa na wengine. Nimekuwa nina impact kwa watu wengi sana hapa duniani na nimewafundisha wengi sana kuhusu Maisha na wengi wanarudi na kushukuru. Nina watu Zaidi ya 20 ambao mimi ni referee kwenye CV zao
Nikifanya nini nitapata privilege ya kukutumia kama referree kwenye CV yangu?
 
Back
Top Bottom