Kinachonikera ni kuingiza siasa za vyama kwenye topiki ambazo hazihusiani na siasa. JF ina mengi ya kujifunza sio sehemu ya siasa peke yake ndio maana kuna majukwaa mengi. Kuna watu wanatajirika kutokana na mawazo ya humu JF. Kuna mtu aliniuliza kuhusu ufugaji samaki huwezi amini jamaa amejiajiri kwa sasa na ana Maisha yeke so tuchukulie vitu serious sometimesUmeoa?
Ni kitu gani kinakukera hapa jf?
Upload cheti chakoSikuwahi kufeli darasani nilipata one ya point 10 O level na hesabu nilipata A
Wivu sina ila roho inauma...Babuu
Hahahahahaha LOLBabu ebu pumua kwanza, uko resi sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bili nisogezee hapa mjukuu wako
Hii kozi inatolewa chuo gani mkuuNimesoma banking, procurement, monitoring and evaluation, agribusiness na management
Kaza roho babu[emoji23][emoji125]Wivu sina ila roho inauma...
Hahahahahaha LOLUkijitia kukosea nakuua
Hahahahahaha LOL
Utakuwa na bastola au ni hayo meno unaringia?
Wanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika...Kaza roho babu[emoji23][emoji125]
Lamba lolo....Utajua hapohapo
Daah babu muhuni weweLamba lolo....
[emoji137][emoji137][emoji137]Hayaaa
[emoji23][emoji23]Hapana. Mi funza mwenzie. Huwa tuna ujamaa tukiwa tunashambuliwa na waasi
Nitake radhiDaah babu muhuni wewe
Nakutaka radhi babuNitake radhi
Kwani babu unateseka na nini?Wanaume tumeumbiwa mateso na kuhangaika...