Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Mjomba wangu ambae amesoma mpaka darasa la nne huko mkoani Tabora mwenye akaja Dar es Salaaam kama bodaboda ila mpaka Leo ana
Mwenye V8 3
Toyota Hilux 3
Harrier 2
Alteza 1
Scania za mchanga 56
Costa za abiria 25
Nyumba 16 Dar es Salaam
Nyumba 7 Tabora
Hotel moja Arusha.
Zaidi ya hekari 600 Dodoma, Mbeya, Morogoro na Kigoma
Mwenye mama na watoto
Mwenye kila aina ya nguo.
Ila aliwahi kuniambia nisihofie kupoteza maisha kwani Kuna maisha mengine matamu zaidi haya ya duniani.
Amesema Leo ananipa namba ya simu ya Mzee Kalebonesha kutoka Tanga..
So Mzee Huyu atanipokea kama mwanae.
Haya Naomba chawa.
Naomba viherehere naenda kutoboa
Matusi ruksa Mungu yupo!!! Swali ulimuona wapi???
Uchawi upo nimeona mafaniko ya ndugu yangu kupitia uchawi...
Endelea kuishi kwa lugha ya kufikirika
Mwenye V8 3
Toyota Hilux 3
Harrier 2
Alteza 1
Scania za mchanga 56
Costa za abiria 25
Nyumba 16 Dar es Salaam
Nyumba 7 Tabora
Hotel moja Arusha.
Zaidi ya hekari 600 Dodoma, Mbeya, Morogoro na Kigoma
Mwenye mama na watoto
Mwenye kila aina ya nguo.
Ila aliwahi kuniambia nisihofie kupoteza maisha kwani Kuna maisha mengine matamu zaidi haya ya duniani.
Amesema Leo ananipa namba ya simu ya Mzee Kalebonesha kutoka Tanga..
So Mzee Huyu atanipokea kama mwanae.
Haya Naomba chawa.
Naomba viherehere naenda kutoboa
Matusi ruksa Mungu yupo!!! Swali ulimuona wapi???
Uchawi upo nimeona mafaniko ya ndugu yangu kupitia uchawi...
Endelea kuishi kwa lugha ya kufikirika