Leo nataka tuweke Ushabiki wetu wa Simba na Yanga pembeni na tulijadili hili Kiuanamichezo kwa Faida ya Soka letu

Aisee usipotafuta dawa ya kuhara tumbo litakusumbua sana
 
Sijui niwaite wajinga mara ngapi ili mjielewe kuwa nyie kweli ni wajinga.

Unaposema mkataba wa Simba SC ni feki, tuwekeeni huo original tuuone, mna upeo mdogo ndio maana mnamshangilia mjinga mwenzenu.
Wewe ita hata mara 100, lakini uthibitisho pekee wa mkataba ulionao mpaka sasa ni T-shirt iliyoandikwa 26.1b
 
Mimi nimewazungumzia Simba SC ninaowafahamu, hao wengine watajizungumzia wenyewe, sawa popoma?
Wewe siyo shabiki ni Mfuasi. Hii ni mada inayowahusu mashabiki wa soka siyo Wapenzi wafuasi Wafuata upepo ambao wakiwa Simba hawawezi kuona mabaya ya Simba, wakiwa Yanga hawawezi kuona mabaya ya Yanga.
 
Amesema anaijua Simba, akikujibu bila tusi unitag.
 

Unadhani wao ni wajinga watangaze hivyo halafu waje walipishwe kodi na TRA?
 
Labda haujui maana ya mkataba.
Ikitokea mmoja akavunja makubaliano ya mkataba mwenzake anaweza akaenda kumshtaki.
Sidhani kama viongozi wa Simba watakuwa wajinga kiasi hicho Cha kupewa chini ya KIWANGO Cha mkataba waliowekeana alafu wakakaa kimya.
Kama watakaa kimya utakuwa ni ujinga wao.
Sisi hatujui hizo hela hayo makampuni yatazitoa wapi Bali tunafuata mkataba UNASEMAJE
 
Kama nakuelewa vilee especially nikikumbuka mkataba wa team moja ulikua ktk jezi hvi imeandikwa bil 26(nilistuka kdg)lakini kama nakuelewa mzee wa makolo umeongea point
Uto kweli ni uto, kwamba picha ya ile karatasi aliyoshika Hersi ndio inathibitisha ni mkataba halisi? Kama ungefuata fact hakuna picha kutoka kwa simba au yanga inayothibitisha mkataba halisi ulivyo.
 
Amesema anaijua Simba, akikujibu bila tusi unitag.
Ewe mfuasi wa popoma, msaidie mume wako kujibu swali langu comment no. 27 nililotangulia kumuuliza mumeo, thn nitawapa maelezo mazuri kuhusu wapi zilipo b. 20.

Kama mmeshindwa kujibu mseme hapa ili uzi wenu ujulikane ni wa kijinga mapema, msipotezee werevu muda. Kama una ubavu, jibu hilo swali lililomshinda mumeo.

Tena wewe ndie popoma square unaetumia kigezo cha jezi kuandikwa thamani ya mkataba kama vile umeambiwa hiyo jezi ndio mkataba wenyewe, hata hujui hii dunia inaelekea wapi, unajua umbea tu, na akili ndogo.

NB.

Ujibu bila kuleta kisingizio cha kutukanwa, nimekuita mke wa popoma kwasababu una kiherehere kama wanawake kudandia hadi ujinga wa bwanako, sijakuonea dada.
 
Kumbuka mzee Rage aliwaambia nyinyi ni mbumbumbu kwenye mkutano mkuu wa wanachama na wanasimba wakapiga makofi, wa wa wa waa
Nanyi ( Yanga SC ) mkumbuke pia aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) aliwaambieni Yanga SC Wote ( ipo YouTube ) kuwa nyie ni Nyani, Mbwa na Sokwe.
 
Wewe ita hata mara 100, lakini uthibitisho pekee wa mkataba ulionao mpaka sasa ni T-shirt iliyoandikwa 26.1b
Wewe Punguani wa Akili, kwahivyo haya makampuni yayoingia mikataba ya namna hii au kutangaza kwenye Jezi ni wajinga isipokuwa hakika ni kwenye karatasi tu..?

Vinginevyo nitaamini kuwa Utopolo ni chuo cha mafunza.
 

Sasa mzee wangu kwa hiyo TRA NAO NI MAGUMASHI???
 
Zile Tsh Billioni 20 za Mwekezaji Wetu Mo Dewji zipo katika Akaunti gani na ipi mwana Simba SC Mwenzangu?

Ahaaa mr kigwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushakujua sasa kaka HK eeeh tunaomba utusajilie hata mmoja basi...hata lobi basi mlete
 
Ahaaa mr kigwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tushakujua sasa kaka HK eeeh tunaomba utusajilie hata mmoja basi...hata lobi basi mlete
GENTAMYCINE nimeshafananishwa na Kila Mtu ( Watu ) Maarufu hapa Jamiiforums, ila Mimi siyo hao ( hawa ) Wote mnanifananisha nao na labda niweke tu wazi Kwenu kuwa Majina yangu Halisi ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura na natokea Makabila ya Zanaki ( Mara Tanzania ), Tutsi ( Gisenyi Rwanda ) na Makuwa ( Mtwara Tanzania )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…