Leo nataka tuweke Ushabiki wetu wa Simba na Yanga pembeni na tulijadili hili Kiuanamichezo kwa Faida ya Soka letu

Makabila yote yamewahi kushika mamlaka yenye dhamana kubwa ya kuongoza Nchi..Urais. Hatari na Nusu.
 
Makabila yote yamewahi kushika mamlaka yenye dhamana kubwa ya kuongoza nchi..Urais.
Nashukuru kulitambua ( Kulijua ) hilo Mkuu na kama kuna Kitu GENTAMYCINE najivunia ni kujikuta nimebahatika kutokea katika Makabila Matatu ya Zanaki, Tutsi na Makuwa ambayo yote yametoa Marais kama Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere ( Tanzania ), Rais Paul Kagame ( Rwanda ) na Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa ( Tanzania )

Na hata Mimi GENTAMYCINE kama Mbunye ambazo nazipenda hazitonipeleka Udongoni kwa 'Dally Kimoko Virus Guitar' basi nami pia naweza Kuwaongozeni Watanzania kwani nimetokea katika Makabila ambayo yanatoa Viongozi ( Watawala ) bora Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…