Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Nafikiri kwenye maana ya ndoa ndio tunapishana apo , inawezekana mimi nipo sahihi na wewe upo sahihi pia.
 
Asante mkuu, nilikuomba nijifunze kupita majibu yako.

Wazo kuu as Ex pastor, uliona nini mpaka ukaamua kuhama from Christianity mpaka uyahudi na wala sio uislam?
Kabla sijaingia uyahudi nilikuwa Muislamu kwanza nilidumu kwa Miaka 5 humo..
na Kwa sasa Sina upande wwote baada ya kugundua hizi ni biashara za watu tu..

Nakushauri soma tu jinsi Ukristo ulivyoanza soma jinsi Biblia ilivyopatika jifunze Bible Textual analysis utaelewa vingi bila kuambiwa na mtu..
It takes Time.. (Hata Roma haikujengwa kwa siku 3)
 
Asante sana mkuu kwa majibu yako. I appreciate for your time, See you around.
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Nataka maelezo kwamba Mungu yupo, yenye:-

1. Proof that is logically consistent.
2. Proof that is non contradictable.

Is that too much to ask for?
Katika lugha zote za Dunia Kuna Neno likitafsiriwa Lina maana ya Mungu:kwa maana Muumba wa mbingu na dunia

Kwa utashi wako unaona kama kabila zote duniani waliungana kubuni Hilo neno
 
Mwandishi wa biblia mwongo sana mengi alivutia kwa waliomtuma aandike
 
πŸ’―
 
Yap twende kazi mkuuπŸ™‡β€πŸ™‡β€
Ndoa ni muunganiko wa hiari kati mtu mume na mtu mke waliokubaliana kuwa pamoja katika maisha yao.
Kuishi na mwanamke kwa kipindi cha miaka miwili hiyo ni dhana ya ndoa(rebuttable resumption)

Kukataa ndoa ni kukataa muunganiko huo, si ndivyo?
Mtoto wako wakike anaweza kuolewa akiwa na miaka 15 kwa ruhusa ya wazazi. Na akaja kukwambia mimi nataka kuolewa.
Mtoto wako mwenye umri wa miaka 18 upo tayari kumuona akipata mimba na kuja kurushiwa mzigo uulee wewe? Jibu kama baba na usiweke ushabiki.
 
Katika lugha zote za Dunia Kuna Neno likitafsiriwa Lina maana ya Mungu:kwa maana Muumba wa mbingu na dunia

Kwa utashi wako unaona kama kabila zote duniani waliungana kubuni Hilo neno
Hapo unefanya logical fallacies hizi.

1. Argument from tradition. Yani umefanya kuwa kitu kikikubalika kiutamaduni, basi ni lazima kiwe sawa. Tumeona mambo mengi yalikubalika kiutamaduni zamani, lakini leo tumeyaona hayafai na tumeyaacha. Hoja hii ni potofu kimantiki (logical fallacy).

2. Argument from popularity. Yani kitu kikikubaliwa na wengi ni lazima kiwe kweli. Tumeona kuwa si lazima kinachokubaliwa na wengi kiwe kweli. Hoja hii ni potofu kimantiki (logical fallacy).

3. Argument from dictionary. Unachukua definition ya dictionary na kurahisisha hoja ngumu imalizwe kwa definition ya dictionary, wakati hata hilo neno Mungu hizo jamii nyingi ulizozitaja hazikubaliani Mungu huyo yukoje. Hii ni hoja potofu kimantiki (logical fallacy).
 
πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu hizo historia za ma Emperor na Caesar nazijua..

Unazihamu Holy Christian Crusades ambazo Zilianza mwaka 1096 mpala 1291..

Nakushauri kabla ya Kucoments Uzipitie kwanza..
Na by The way "ku klux klan" ilijificha chini ya mwamvuli wa white supremacist lakini ilikuwa Chini ya Majesuits na Knight templar..
 
Nani kasema Yusuf alitenda dhambi kwa kumuoa Maria?
 
Mpaka sasa nalea watoto watatu ambao sio wangu , kulea mtoto wa mwanangu sio tatzo kabisa.

Note: ziwezi kamwe kuzuia matamanio ya mtoto kama anataka kuoa ni yeye na sio mimi .

Pia tunaposema kataa ndao pia sio sheria kila mtu akubaliane na sisi .
Kwa nini sikubaliane kukataa "pochi manyoya"!? Au mnakwepa majukumu kwenye ndoa lakini vipochi manyoya vyao mnapita navyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…