Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Mmmh. Ngoja nikuache mkuu, uelewa wako ni mkubwa sana. Asante
Aya ya 17:31 ya Qur'an inasema: "Wala msiue watoto wenu kwa hofu ya umasikini. Sisi tunawaruzuku wao na nyinyi. Hakika kuwaua wao ni dhambi kubwa." (Qur'an 17:31)
 
Asante mkuu. Kama hujachoka naomba tuendelee

Q4: Mtazamo wa mkristo na mwislamu kuhusu dhambi ukoje. Naoba reference kama ipo
Mkuu Bado sijajua Mantiki ya Maswali yako..
Hebu Jikite kwenye wazo kuu!..

japo nitajibu..
Kwa wakristo Dhambi ni uasi wa Sheria za Mungu..
1 Yohana 3:4

Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Whosoever committeth sin transgresseth also the law: for sin is the transgression of the law.

Kwa waislamu Dhambi ni kuasi amri ya Mwenyezi Mungu au kwa maneno mengine ni kufanya jambo ambalo Mwenyezi Mungu amelikataza au kuacha kufanya jambo ambalo imetolewa amri ya kulifanya.. kwenye Uislam kuna Dhambi kubwa na Ndogo
 
Kama issue ni umri basi YUSUFU hakutenda dhambi kwani umri wa kuolewa ni sheria tu zinazotungwa na mmlaka ya nchi husika kwa kuzingatia vigezo mbalimbali, na huo umri unatofautiana nchi na nchi.

Kama Tanzania umri wa kuoa ama kuolewa kisheria ni kuanzia miaka 18... hii sio sheria ya Mungu hivyo haiwezi kua Kigezo kuwa mtu akiwa chini ya huo umri ni mtoto na akiwa juu ya umri ni mtu mzima ukitoka naye ni dhambi.

Lakini pia kibiologia binti anakua kapevukana na yupo tayari kwa uzalianaji akiwa na umri kuanzia 12 na kuendelea (wastani wa miaka 13)

Mambo mengine ni busara tu za wazee ambazo zinashindwa kuingiliana na tamaduni nyingine(walipishana kifikra) hivyo zinashindwa kuendana na wakati hasa nyakati hizi za muingiliano mkubwa wa watu duniani.
Hata wa Leo wanaolewa kwa miaka 14
 
Mkuu Bado sijajua Mantiki ya Maswali yako..
Hebu Jikite kwenye wazo kuu!..

japo nitajibu..
Kwa wakristo Dhambi ni uasi wa Sheria za Mungu..
1 Yohana 3:4

Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Whosoever committeth sin transgresseth also the law: for sin is the transgression of the law.

Kwa waislamu Dhambi ni kuasi amri ya Mwenyezi Mungu au kwa maneno mengine ni kufanya jambo ambalo Mwenyezi Mungu amelikataza au kuacha kufanya jambo ambalo imetolewa amri ya kulifanya.. kwenye Uislam kuna Dhambi kubwa na Ndogo
Asante mkuu, nilikuomba nijifunze kupita majibu yako.

Wazo kuu as Ex pastor, uliona nini mpaka ukaamua kuhama from Christianity mpaka uyahudi na wala sio uislam?
 
Mtoto wa miaka 15 hana anachoweza kujisimamia yupo chini ya wazazi .
lakini hakulazimishwa.

yupo chini ya wazazi kwa maana gani wakati tunapaswa kukataa ndoa?
Niliwahi kuuliza humu yupo baba anayeruhusu mtoto wake wakike azalishwe na aje kutupiwa mzigo? Wanaume wote walikataa japo mtoto anaweza kufanya hivyo.

Swali, kama hakuna mwanaume anayekubali na wewe unasisitiza ndoa haipaswi. Huoni bado unajipinga mwenyewe?

Sijui kama umeelewa pointi hapo?
 
Hii sentensi ina uongo kwa 100% Jaman someni Historia ya Dini zenu kabla ya kucoments..
Ukristo umeua watu wengi sana..

Kuna Watu wamepoteza maisha Ulaya,Marekani na sehemu nyingi kwa ajili ya Kujinasibu kueneza ukristo kuna Crusade nyingi zimefanyika..
Kuna makundi mengi ya Kigaidi ya kikristo yalizuka kwenye historia bila kuwasahau Klux
Historia ya kanisa bado huijui kuklux clan ni siasa
Unachanganya mada
Wakristo waliuliwa na makaizari kutaja kuifuta ukristo duniani
Walio fanya kazi hio ni kaizari:
Nero
Domitian
Pompe na wengine
Ni kaizari Cesare aliekomesha manyanyasho kwa wakristo
 
Back
Top Bottom