Mkuu unamwambia asikariri vitabu. Wewe haya unayoyasema umeyatoa wapi!? Je umesoa article mbali mbali au umeoteshwa? Kama umesoa article mbali mbali ndicho hata yeye aliomba reference ili ajisomee mwenye. Unless uwe unaoteshwaMkuu usikariri vitabu, hayo unayosoma ni waliyoona yanafaa yakufikie kuna siri nzito zimefichwa kwenye mambo ya dini. Nikipe mfano mdogo miaka hiyo Roman Catholiki ilizusha vita baada ya kuwa nabutaratibu wa kuwachinjilia mbali wote waliopinga kujiunga na dini hiyo na hutakuta sehemu wamekuandikia mpaka upitie historia ya kawaida isiyogusa dini.
Kumtunza huyu mkeMajukumu ya kwenye ndoa ni yap mkuu , ambayo unahisi mimi nitayashindwa?
Scientifically speaking huwez ku-prove kuwa mungu yupo, but also Scientifically speaking, the complexity and proximity of this universe suggests there must be a Grand creator, a designer and an intellectual being.Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Unaweza kuondoa contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo huyo Mungu?
🤣🤣🤣 kwa hiyo unahisi hawa wanawake nilio nao siwatunzi mkuu au matunzo ya mke yapo tofauti?Kumtunza huyu mke
Ubikra wake uliisha baada ya kumzaa Yesu. Lakini mpaka leo kwa nini bado anaitwa bikra Maria wakati alipata watoto wengine kwa kuingiliwa?Tunasema bikira kwasababu ya kumzaa yesu pasipo kuingiliwa na mwanaume, lakini baada ya kumzaa yesu aliendelea na ndoa yake na yusufu na kuzaa watoto wengine.
Mkuu vipi kuhusu Sisi Ignostic na Agnostic..Kiranga Kuna kitu huwa huelewi. Nahofia sana akili zako mingi huwa unazipa likizo sijui likija hili jambo.
Kwenye hii kesi kazi ya ku-prove ni yenu atheists, sabab hata neno atheist limetokana na theist, yaan imeanza theist ndo ikaja atheist, you are on defensive here mkuu, ww ndo inabidi utupe proof kwamba Mungu hayupo otherwise jury rules out of your favour.
Ni mazoea tuu broo wala isikupe shida, nahic kwasababu walioandika biblia walim-adress hivo bac na sisi tumeona tuendelee hivohivoUbikra wale uliisha baada ya kumzaa Yesu. Lakini mpaka leo kwa nini bado anaitwa bikra Maria wakati alipata watoto wengine kwa kuingiliwa?
We need an open court.Mkuu vipi kuhusu Sisi Ignostic na Agnostic..
Tunaprove vipi Kitu wakati hakipo..
Me naamini Kiranga yuko sawa..
Ni sawa useme Binadamu anaweza kuishi bila Moyo..
Ni jukumu la wewe Kusema kuwa Binadamh huyo anawezaje kuishi bila moyo ila sio Jukumu la Mtu ambaye Haamini/Hajui kama inawezekana usemacho kukupa uthibitisho kwamba moyo Ni muhimu uwepo..
Na kingine Kwa ignostic wanasema kufika kwa mwisho wa mawazo yetu haimanishi kuna Nguvu ipo ni kwamba hatujui tu kipi hasa kimefanya vile..
Kwa mfano zile point kama "We unahisi Binadamu katokea wapi"
Kutokujua binadamu katokea wapi au kitu fulani kimekuwaje hakikupi Uhalali wa kuthibitisha uwepp wa Mungu
NImejifunga sehemu gani?We need an open court.
Kwa hayo maelezo tu ushajifunga tyr.
Kwa nini unaona the universe suggests there must be a grand creator, a designer?Scientifically speaking huwez ku-prove kuwa mungu yupo, but also Scientifically speaking, the complexity and proximity of this universe suggests there must be a Grand creator, a designer and an intellectual being.
Huwez ondoa contradictions, kweny maisha ya binadamu contradictions ni muhimu, ndizo zinatufanya tufikirie and become better everyday, hata kwa sisi tunamwamini Yesu bado tume tofautiana, tuna contradictions kibao tuu, hata wanaomwamini Muhammad nao wana contradictions kibao tuu, hata sisi watanzania ni watu wa taifa moja lakini tuna contradictions huyu ccm huyu chadema, huyu mchaga anaamini hivi huyu mwingine mmasai anaamini vingine.
Acha contradictions ziwepo, kumuamini mungu haimaanishi kusiwepo na contradictions, na hio ndio maana ya imani, kusingekuwa na contradictions isingeitwa imani, ingeitwa "fact", sasa kama wewe unataka kumwamini mungu bila contradictions ni uamuzi wako na mm nimeamua kumuamini mungu hivohivo na sintofahamu zilizopo.
Kwa hiyo kumbe unakataa ndoa kwa sababu itakufanya uwe na limit ya wanawake wengi? Unakataa ndoa ili uwe huru kuchakata bila mipaka?🤣🤣🤣 kwa hiyo unahisi hawa wanawake nilio nao siwatunzi mkuu au matunzo ya mke yapo tofauti?
Ni kama vile lowasa alikuwa naomba kura kwa mgongo wa walutheri et nao wapewe uongozi wa nchi alikuwa ametumwa na kanisa?[emoji3][emoji3]
Mkuu hizo historia za ma Emperor na Caesar nazijua..
Unazihamu Holy Christian Crusades ambazo Zilianza mwaka 1096 mpala 1291..
Nakushauri kabla ya Kucoments Uzipitie kwanza..
Na by The way "ku klux klan" ilijificha chini ya mwamvuli wa white supremacist lakini ilikuwa Chini ya Majesuits na Knight templar..
UmesemaNImejifunga sehemu gani?
You’re too honest. Asante sana kuonyesha una ukomavu kiimani na unao uelewa pia. I appreciate that.Ni mazoea tuu broo wala isikupe shida, nahic kwasababu walioandika biblia walim-adress hivo bac na sisi tumeona tuendelee hivohivo
Huwezi kupata ukristo safi kwenye Dunia ya Sasa mkuu Misingi yote imeshabomolewaNi kama vile lowasa alikuwa naomba kura kwa mgongo wa walutheri et nao wapewe uongozi wa nchi alikuwa ametumwa na kanisa?
Elewa kwanza kuufuta ukristo duniani na ndo ulikuwa unaanza akiwemo kwanza mtume Paulo mwenyewe
Nikiri kwanza kuwa ukristo wa Leo umechakachuliwa ila naiona wimbi la kufufuliwa kwa ukristo wa kweli
Ndoa ni nini mkuu unaweza kuta nakataa kitu nisicho kijua 🙄Kwa hiyo kumbe unakataa ndoa kwa sababu itakufanya uwe na limit ya wanawake wengi? Unakataa ndoa ili uwe huru kuchakata bila mipaka?
HAhaha..Umesema
"Kutokujua binadamu katokea wapi au kitu fulani kimekuwaje hakikupi Uhalali wa kuthibitisha uwepo wa Mungu"
Yaani ww haujui asili ya binadamu ni ipi, ila mimi naijua na nakwambia asili ni Mungu, sasa wewe ukipinga si inabidi upinge kuwa sipo sahihi, yaani upinge uwepo wa huyo Mungu, yaan u-prove kwamba Mungu hayupo.
ndo maana nasema kazi ya kuprove hapa ni yenu, sio yetu.
Hii kesi ikiwa kwenye open discussion mtatoka na aibu sana, kama hadi einstein mwisho wa maisha yake alikiri Mungu yupo, wewe ni nani?
Kwa tafsiri yanguNdoa ni nini mkuu unaweza kuta nakataa kitu nisicho kijua 🙄
Where from? We mprotestanti tu huwezi kujua theology ya kunizidi ata chembe. Yani theology ya watu ambao tayari wapo in error ? Are you serious?🤣4 Years in theology, And 2 years in philosophy, and so Unaweza ukaleta hoja?