Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Sijaelewa!! una maanisha kwamba waislamu sio wapenda amani ?
 
Umesema mwenyewe kwamba ni nadra sana kwa kipindi hiko kukuta Binti wa miaka 15 hajaolewa , sasa inamaanisha kwamba walikuepo ambao hawajaolewa ila ni wachache na katika hao wachache mmoja wapo ni Maria mbona ni simpo

Job true true
Maria aliolewa as soon as alipomaliza Bat mitzvah..
Jamani nasisitiza tena tusome na kama hatujui tuwaulize Mapadre,Maaskofu na wachungaji
 
Nikitaka kuwa kwenye dini ni bora niwe mwislamu ila mpka siku nitakufa sitakua na dini .
Twende taratibu mkuu nataka na mimi nipate huo uelewa ulioupata ukatoka kuwa Christian mpaka Muslim kiitikadi na matendo, well! Swali langu ulipatwa na nini mpaka ukaamua kukaa bila kuamini dini yoyote wakati tayari umeona uislam una afadhari kwako!?
 
Najua kaka mkubwa ila bora waislamu wanasimamia misingi ya kiume na ya kiasili kuliko ukristo .
Bora Wayahudi kidogo kwenye Hii ibrahimic yote..
Halafu wanafuta Waislamu..
Ila kwa Wakristo nakuunga mkono ukristo umeharibiwa sana na Kufanyiwa update kadhaa ambazo zimeharibu hata asili ya Dini yao
 
Hakuolewa ndoa unayojua wewe, kwenye utamaduni wa kiyahudi hasa miaka ile. Maria alikuwa betrothed, yani ni uchumba lakini hakuna engagement kwenye sexual act. Yusufu alikuwa mzee, alihitaji mtu wa kumsaidia. Sio kujamiana kama mnavyodhani. Ndio maana Maria alipotolewa na malaika na kuelezwa habari ya kuzaa mtoto alishtuka kwa maana "hakumjua mwanaume yeyote" yani hakuwahi kuzagamuliwa. Hamsomi au kaeni vizuri na wakristo asili Yani wakatoliki wawaelezeni vizuri. Huko tushapita.
 
Twende taratibu mkuu nataka na mimi nipate huo uelewa ulioupata ukatoka kuwa Christian mpaka Muslim kiitikadi na matendo, well! Swali langu ulipatwa na nini mpaka ukaamua kulaa bila kuamini dini yoyote wakati tayari umeona uislam una afadhari kwako!?
Kama umezaliwa ukakulia ukristo sio rahisi ukubaliane na mimi , kwa sababu , dini mmezifanya kiushabiki na kimapenzi zaidi kuliko uhalisia , ila kama umeshajitambua dini haina umuhimu kwako tena, ila kama bado unaitaji ili ufanye mambo mema mpaka utishiwe jehanam , uislamu ni bora zaidi.
 
Bora Wayahudi kidogo kwenye Hii ibrahimic yote..
Halafu wanafuta Waislamu..
Ila kwa Wakristo nakuunga mkono ukristo umeharibiwa sana na Kufanyiwa update kadhaa ambazo zimeharibu hata asili ya Dini yao
Naomba elimu kidogo sio mabishano mkuu.
 
Kristo ulienea duniani bila vita, Sasa njoo kwa wenzetu hata walipo hawataki madini menginewameamrishwa kuwa hata watoto wao wakienda kinyume na dini yao
Hii sentensi ina uongo kwa 100% Jaman someni Historia ya Dini zenu kabla ya kucoments..
Ukristo umeua watu wengi sana..

Kuna Watu wamepoteza maisha Ulaya,Marekani na sehemu nyingi kwa ajili ya Kujinasibu kueneza ukristo kuna Crusade nyingi zimefanyika..
Kuna makundi mengi ya Kigaidi ya kikristo yalizuka kwenye historia bila kuwasahau Klux
 
Bora Wayahudi kidogo kwenye Hii ibrahimic yote..
Halafu wanafuta Waislamu..
Ila kwa Wakristo nakuunga mkono ukristo umeharibiwa sana na Kufanyiwa update kadhaa ambazo zimeharibu hata asili ya Dini yao
Wayahudi sijajua dini yao ipo vip ila wakristo hakuna kitu .
 
Naomba elimu kidogo sio mabishano mkuu.
Inachukua muda kujua Jikite katika kusoma Sana Biblia ,Baadae kasome historia ya Mapitio ya kanisa, Soma Theology soma vikao vyote vya kidini Ecumenical council of the churches ukisoma kanisa la kwanza early churches..
soma vitabu vya Early fathers church history kama kina Father eusebian..

Ukitoka hapo soma biblia soma historia utagundua vitu vingi sana..
Sio kitu cha siku moja ni kitu cha commitment na kuamua kutafuta ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…