Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Mkuu hujanielewa ndio maana unashindwa kujibu swali langu. Nataka kujifunza kupitia wewe, pia mimi ni omnist
 
Vijana wa kiume ndo hubalehe.
 
Naruhusiwa kuuliza maswali na wewe ukansaidia kinijibu!?
 
Mkuu mwanzoni ulikuwa sawa ila ulivyoendelea kuwa Yusuph alitaka mtu wa kumsaidia hapo ndo uliharibu kabisa
 
Mkuu hujanielewa ndio maana unashindwa kujibu swali langu. Nataka kujifunza kupitia wewe, pia mimi ni omnist
nmekuelewa vizuri sana , ukifuatilia ukristo utagundua hawana wanachosimamia kila mmoja anachomoka na kifungu chake tu, ila wakiifuata biblia yote kama msingi wa dini yao kimatendo na kiitikadi hawatakuwa na tofauti yoyote na mwislamu.

Ndio maaana nikasema kama wewe unapenda biblia na mafundisho yake ni bora moja kwa moja uwe mwislamu kuliko kuyumbishwa na mihemko na tofauti za watu katika kutafsiri biblia .
 
Mimi sipingi haya. Nataka usi generalise mambo, naomba wewe uwe case study katika kunijibu.

Unaelewa maana ya omnist?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…