Leo nawapa Siri kwanini Yanga anaziangamiza sana timu zenye udhamini wa GSM na ataendelea kuziangamiza

Leo nawapa Siri kwanini Yanga anaziangamiza sana timu zenye udhamini wa GSM na ataendelea kuziangamiza

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
 
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
Pumba tu!!!
 
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
5imba nao kumbe wanadhaminiwa na GSM? ....?
 
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
Yule mwenyekiti wenu aliyewaita mbumbumbu, hakika aliwaza mbali sana.
 
Hizi kelele za kijinga kijinga tu, kama mna hela wekeni dau mdhamini hizo timu. Badala ya kupongeza vilabu vinajikwamua kiuchumi mnaleta roho za kimaskini tuu. Nendeni mkazidhamini hizo timu kama mna hela.
 
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
Kumbe na Simba alikunywa maji ya gsm akaangamizwa? Fountain gate nao walikunywa maji ya gsm na kuvaa jezi wakaangamizwa? Dodoma Jiji nao walikunywa maji ya gsm na kuvaa jezi wakaangamizwa? Kmc nao hivyo hivyo? Maana hizo timu zote zimepigwa na yanga sio chini ya goli 4 na wakati akuna ata Moja hapo inayodhaminiwa na gsm!
 
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana.

Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30 mfululizo msiposhtuka, alikuwa na maana yake kubwa, kwamba kwa mikakati waliyoiweka kwenye timu zinazodhaminiwa na GSM, uhakika wa ubingwa ni 100%.

Nini wamekifanya?

Timu walizozidhamini zote zinapewa maji ya GSM na jezi zenye nembo ya GSM, kama masharti ya udhamini, Yanga na Simba ni timu za utamaduni, kama ukikubali kuvaa jezi yenye nembo ya GSM na ukapokea maji yao ukawa unayanywa tu jiandae kula vipigo mwanzo mwisho.

Wao hawapangi matokeo hilo nakataa ila udhamini waliopewa unawapumbaza kimtindo, hakuna anayedhaminiwa na GSM atatoka salama ndio maana wao wana uhakika 100% kuzipiga hizo timu, na kwa vile hawawezi kugomea jezi hizo wala maji wakae wakijua watakufa tu.

Ukitaka kuamini haya nayosema ngoja waende mkoani wakacheze na timu wasioidhamini uone mbungi lake, hapa dar sina ishu nako ila huko mikoani mbungi ngumu, kazi ipo.
Mbona Simba hufungwa na Yanga kumbe Simba inadhaminiwa na GSM
 
Back
Top Bottom