Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Michael Sarpong

Leo niseme tu ukweli wangu nimewahi Kuwashuhudia Washambuliaji mahiri sana hapa nchini Tanzania kutokea Timu mbalimbali za Ligi Kuu yetu hii ila kwa Kumtizama Kwangu katika Mechi zake Mbili huku nami nikiwa 'namtathmini' kwa Jicho langu la Kiuchezaji Mpira hasa miaka yangu ya nyuma kama Beki wa Kulia, Namba Nne na Kiungo wa Chini ( Namba Sita ) leo nitayasema machache ila yenye Umuhimu juu ya huyu Mchezaji.

Huyu Mchezaji ana yafuatayo mazuri tupu....

Ni Mpambanaji muda wote awapo Uwanjani
Ni Mwenye Uroho na Goli ( Goal Poacher )
Ni mwenye Kujiamini muda wote
Ni mwenye Uwezo mkubwa sana wa Kumiliki mpira
Ni mwenye Kupiga Pasi zenye Tija kwa Timu
Ni mwenye Nguvu za Kutosha
Ni mwenye kutumia vizuri uwezo wake wa Kichwa na Miguu katika Kufunga

Pongezi zangu nyingi sana kwa Uongozi wa Watani zangu wakubwa Yanga SC kwa 'Kumsajili' huyu Mshambuliaji kwani pamoja na kwamba GENTAMYCINE ni Simba SC 'lia lia' kabisa Kwangu Mimi nadhani huyu Mchezaji kwa Kushiriki Kwetu Mashindano makubwa basi huenda ndiyo angetufaa kwa 100% kuliko huyu Mshambuliaji wetu Chris Mugalu tuliyemtoa nchini Zambia.

Na nawaonya mapema sana 'Mabeki' wa Timu zote za Ligi Kuu kuwa kama hawatamuundia 'Kamati' ya 'Roho Mbaya' ya 'Kumdhibiti' asilete 'Madhara' Kwao GENTAMYCINE natabiri mapema leo hii kuwa huenda Mshambuliaji huyu wa Yanga SC Michae Sarpong akaja Kufunga Goli / Bao hata 50 ( Hamsini ) kwa Msimu huu na Kuvunja hadi Rekodi inayoshikiliwa na aliyewahi kuwa Mshambuliaji wa Yanga SC Mohammed Hussein 'Mmachinga' na niseme tu kuwa hapa Yanga SC imelamba 'Dume' hasa.

Tuisila Kisinda

Kama kuna Mchezaji ambaye nina uhakika anaenda 'Kuwakera' na 'atawakera' mapema tu wana Yanga SC endapo tu 'hatobadilika' upesi ni huyu. Nikiri tu hapa kuwa huyu Tuisila Kisinda ni Bernard Morrison ndani ya Yanga SC na naweza Kudiriki kusema hapa kuwa amemzidi vitu kadhaa muhimu Mchezaji wangu wa Simba SC Bernard Morrison na hili wala halihitaji Mjadala.

Kitu pekee tu ambacho kinaenda 'Kummaliza' huyu Kijana wa Kikongo Tuisila Kisinda ni Makosa yake ya Kitoto ( Schoolboy Mistakes) pia ameshalewa 'Sifa' tayari, anataka Kuutafuta kwa haraka sana 'Ufalme' ndani ya Kikosi cha Yanga SC, ni Mchoyo ( Mbinafsi ) na kibaya zaidi anapenda mno Kucheza na Jukwaa na hata Nidhamu yake pia sidhani kama iko vyema ukianza tu Kuangalia jinsi ambavyo hupenda Kuvalia Jezi kwa Kuzikunja na huku Bukta yake nayo akiikunja ikiashiria kuwa huenda ama ana 'Ushamba' au amekulia katika 'Mazingira' ya 'Kiuswahili' sana huko Kwao Congo DR.

Kama si ule 'Upuuzi' wake alioufanya Jana pale Uwanjani nina uhakika ile Mechi Yanga SC ingeibuka 'Mshindi' tena kwa Goli / Bao nyingi sana kwani Tuisila Kisinda alikuwa anaingia kabisa katika eneo la Hatari la Wapinzani na kutakiwa kutoa tu Pasi ya mwisho kwa Wenzake ili wafunge Yeye hakuwa akifanya hivyo na badala yale alitaka asifiwe tu Yeye kama Yeye na siyo Yanga kama Timu.

Angalau sasa kwa Msimu huu Simba SC tutapata 'Upinzani' wa kweli kutoka kwa Yanga SC na tuwe nao 'Makini' kwani sasa nao ni Wazuri sana tu.
 
Kwani huyo sarponho jana hakuwepo? Hata ajib aliyokuwa yanga alikuwa mkali sana il@ huku simba amekuwa average,
Gadiel alikuwa hatari kule uto ila huku simba amekuwa average,mifano ni mingi sadney, lamine nk

Kama hujui hata ukimchukua ndemla umpeleke pale uto lazma atakuwa mfalme pale, yaani sawasawa udondoshe silva katika mkaa, pale simba sc kuna rundo la wachezaji bora.
 
Kwani huyo sarponho jana hakuwepo? Hata ajib aliyokuwa yanga alikuwa mkali sana il@ huku simba amekuwa average,
Gadiel alikuwa hatari kule uto ila huku simba amekuwa average,mifano ni mingi sadney, lamine nk

Kama hujui hata ukimchukua ndemla umpeleke pale uto lazma atakuwa mfalme pale, yaani sawasawa udondoshe silva katika mkaa, pale simba sc kuna rundo la wachezaji bora.
Kuna muda tuache tu ubishi usio na maana yeyote tuongee tu sport...Sapong Jana hakufunga? hukuona movement zake mkuu? Hao Prisons unaowaona msimu uliopita achana na kushinda Simba hatukupata hata goli...kweli ni kipimo sahihi cha kuipima Yanga Leo kama ni mbovu?
Fanya hivi...Yanga ulioiona Jana inafanana na Yanga ya misimu mitatu iliyopita?
Na si kila mchezaji akicheza Yanga basi akija Simba atakua average...mkuu kuna watu wana Universal quality...unamtaja Ajib na Gadiel kama mifano na humtaji Morison huoni kama unakua biased?
Sometimes tujadili football tu...si kila kilichopo Jirani ni kibaya au kitaendelea kuwa kibaya milele...
 
Michael Sarpong
Leo niseme tu ukweli wangu nimewahi Kuwashuhudia Washambuliaji mahiri sana hapa nchini Tanzania kutokea Timu mbalimbali za Ligi Kuu yetu hii ila kwa Kumtizama Kwangu katika Mechi zake Mbili huku nami nikiwa 'namtathmini' kwa Jicho langu la Kiuchezaji Mpira hasa miaka yangu ya nyuma kama Beki wa Kulia, Namba Nne na Kiungo wa Chini ( Namba Sita ) leo nitayasema machache ila yenye Umuhimu juu ya huyu Mchezaji.

Huyu Mchezaji ana yafuatayo mazuri tupu....

Ni Mpambanaji muda wote awapo Uwanjani
Ni Mwenye Uroho na Goli ( Goal Poacher )
Ni mwenye Kujiamini muda wote
Ni mwenye Uwezo mkubwa sana wa Kumiliki mpira
Ni mwenye Kupiga Pasi zenye Tija kwa Timu
Ni mwenye Nguvu za Kutosha
Ni mwenye kutumia vizuri uwezo wake wa Kichwa na Miguu katika Kufunga

Pongezi zangu nyingi sana kwa Uongozi wa Watani zangu wakubwa Yanga SC kwa 'Kumsajili' huyu Mshambuliaji kwani pamoja na kwamba GENTAMYCINE ni Simba SC 'lia lia' kabisa Kwangu Mimi nadhani huyu Mchezaji kwa Kushiriki Kwetu Mashindano makubwa basi huenda ndiyo angetufaa kwa 100% kuliko huyu Mshambuliaji wetu Chris Mugalu tuliyemtoa nchini Zambia.

Na nawaonya mapema sana 'Mabeki' wa Timu zote za Ligi Kuu kuwa kama hawatamuundia 'Kamati' ya 'Roho Mbaya' ya 'Kumdhibiti' asilete 'Madhara' Kwao GENTAMYCINE natabiri mapema leo hii kuwa huenda Mshambuliaji huyu wa Yanga SC Michae Sarpong akaja Kufunga Goli / Bao hata 50 ( Hamsini ) kwa Msimu huu na Kuvunja hadi Rekodi inayoshikiliwa na aliyewahi kuwa Mshambuliaji wa Yanga SC Mohammed Hussein 'Mmachinga' na niseme tu kuwa hapa Yanga SC imelamba 'Dume' hasa.

Tuisila Kisinda
Kama kuna Mchezaji ambaye nina uhakika anaenda 'Kuwakera' na 'atawakera' mapema tu wana Yanga SC endapo tu 'hatobadilika' upesi ni huyu. Nikiri tu hapa kuwa huyu Tuisila Kisinda ni Bernard Morrison ndani ya Yanga SC na naweza Kudiriki kusema hapa kuwa amemzidi vitu kadhaa muhimu Mchezaji wangu wa Simba SC Bernard Morrison na hili wala halihitaji Mjadala.

Kitu pekee tu ambacho kinaenda 'Kummaliza' huyu Kijana wa Kikongo Tuisila Kisinda ni Makosa yake ya Kitoto ( Schoolboy Mistakes) pia ameshalewa 'Sifa' tayari, anataka Kuutafuta kwa haraka sana 'Ufalme' ndani ya Kikosi cha Yanga SC, ni Mchoyo ( Mbinafsi ) na kibaya zaidi anapenda mno Kucheza na Jukwaa na hata Nidhamu yake pia sidhani kama iko vyema ukianza tu Kuangalia jinsi ambavyo hupenda Kuvalia Jezi kwa Kuzikunja na huku Bukta yake nayo akiikunja ikiashiria kuwa huenda ama ana 'Ushamba' au amekulia katika 'Mazingira' ya 'Kiuswahili' sana huko Kwao Congo DR.

Kama si ule 'Upuuzi' wake alioufanya Jana pale Uwanjani nina uhakika ile Mechi Yanga SC ingeibuka 'Mshindi' tena kwa Goli / Bao nyingi sana kwani Tuisila Kisinda alikuwa anaingia kabisa katika eneo la Hatari la Wapinzani na kutakiwa kutoa tu Pasi ya mwisho kwa Wenzake ili wafunge Yeye hakuwa akifanya hivyo na badala yale alitaka asifiwe tu Yeye kama Yeye na siyo Yanga kama Timu.

Angalau sasa kwa Msimu huu Simba SC tutapata 'Upinzani' wa kweli kutoka kwa Yanga SC na tuwe nao 'Makini' kwani sasa nao ni Wazuri sana tu.

Mkuu kuna watu huwa hawapendi kusikia ukweli,,,lakini huyu Sarpong yupo vizuri sana.Huyu jamaa akipata viungo wazuri wa kumpa killer passes hakika ufungaji bora anabeba mapema asubuhi

Na kama ataendelea kuwa mtulivu, hapa kwetu anapita tu,,sio muda mrefu atakuwa ligi ya S.AFRICA,EGYPT,MORROCCO au hata nchi za Ulaya kwa nchi ambazo hazina ligi ngumu,,after all anaonekana bado ni dogo

Kisinda naye sio mbaya,,anahatija kuongeza utulivu tu!
 
Mkuu kuna watu huwa hawapendi kusikia ukweli,,,lakini huyu Sarpong yupo vizuri sana.Huyu jamaa akipata viungo wazuri wa kumpa killer passes hakika ufungaji bora anabeba mapema asubuhi

Na kama ataendelea kuwa mtulivu, hapa kwetu anapita tu,,sio muda mrefu atakuwa ligi ya S.AFRICA,EGYPT,MORROCCO au hata nchi za Ulaya kwa nchi ambazo hazina ligi ngumu,,after all anaonekana bado ni dogo

Kisinda naye sio mbaya,,anahatija kuongeza utulivu tu!
𝐢𝐭𝐚𝐭𝐞𝐠𝐞𝐦𝐞𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐚𝐭𝐚𝐭𝐞𝐠𝐞𝐦𝐞𝐚 442 𝐤𝐦 𝐰𝐚 𝐣𝐚𝐧𝐚 𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐬𝐡𝐢𝐝𝐚, 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐫𝐩𝐨𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐚𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐟𝐮𝐦𝐨 𝐰𝐚 𝐦𝐬𝐡𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐚𝐣𝐢 𝐦𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐲𝐚𝐚𝐧 451𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐚𝐭𝐚𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐭𝐞𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐥𝐢
 
Kwa mechi ya jana usajili wa yanga kwa wachezaji wa kimataifa wamejitahidi sana.. Hata wachezaji kama Yassin Mustafa na Zawad Mauya ni mzuri.. Simba tumepata hofu kidogo.

Hasa Mimi Mkuu na kama hiyo tarehe 18 Oktoba, 2020 katika 'Derby' yetu huyu 'Mghana' ama 'hatujamroga' au 'kumkomoa' atatuumiza mno Taifa.
 
Genta uko Vzuri, lakini tambua WACONGOMAN woooote ni Wapenda Siffa za Kijinga, angalia Misifa ya Papaa Zahera, Bella nk utawajua hivyo ni ngumu sana kumbadilisha, labda aletewe mwanasaikolojia Mfaransa au Mbelgiji ndio ataelewa kwani hayo Wataifa ndio Wacongo wanawakubali pekee.
Wacongo wenye Vipaji kama Nonda Shaban, Katalay na Pitchou Congo walikuja hapo Jangwani na Vipaji vikubwa lkn muda mwingi walikuwa wanashinda Saluni za Kinondoni kujikoba usso na Ilala Boma kusuka Rasta kwa Wamasai ili wapendeze.
Sitashangaa kama Kisinda atawakerra mapema wanayanga kwakuwa ndio asili ya Wacongo wakifika Bongo full bata na Mademu na kujiremba tu ili wasifiwe.
 
Kisinda mpira anaufaham na anauweza, aache ustaa tu.
Mkuu kuna watu huwa hawapendi kusikia ukweli,,,lakini huyu Sarpong yupo vizuri sana.Huyu jamaa akipata viungo wazuri wa kumpa killer passes hakika ufungaji bora anabeba mapema asubuhi

Na kama ataendelea kuwa mtulivu, hapa kwetu anapita tu,,sio muda mrefu atakuwa ligi ya S.AFRICA,EGYPT,MORROCCO au hata nchi za Ulaya kwa nchi ambazo hazina ligi ngumu,,after all anaonekana bado ni dogo

Kisinda naye sio mbaya,,anahatija kuongeza utulivu tu!
 
Umeongea point nzuri sana, this time hawa utopolo wana timu nzuri kwakweli, naona upinzani utakuwa mkubwa, !! Yule striker sarpong yes i like him, the guy ni bull, ni fighter, ana kila kitu kitu mshambuliaji anapaswa kuwa nacho!!
Siezi sema lolote kwa Chris makopa Mugalu, kwakuwa bado sijamuona vizuri!!
Muda ni rafiki mzuri sana, lets wait
 
Back
Top Bottom