Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

Mkuu kuna watu huwa hawapendi kusikia ukweli,,,lakini huyu Sarpong yupo vizuri sana.Huyu jamaa akipata viungo wazuri wa kumpa killer passes hakika ufungaji bora anabeba mapema asubuhi

Na kama ataendelea kuwa mtulivu, hapa kwetu anapita tu,,sio muda mrefu atakuwa ligi ya S.AFRICA,EGYPT,MORROCCO au hata nchi za Ulaya kwa nchi ambazo hazina ligi ngumu,,after all anaonekana bado ni dogo

Kisinda naye sio mbaya,,anahatija kuongeza utulivu tu!
Kisinda ni Msumbufu style ya Morrison. Shida yake ni papara na uchoyo
 
Umeongea point nzuri sana, this time hawa utopolo wana timu nzuri kwakweli, naona upinzani utakuwa mkubwa, !! Yule striker sarpong yes i like him, the guy ni bull, ni fighter, ana kila kitu kitu mshambuliaji anapaswa kuwa nacho!!
Siezi sema lolote kwa Chris makopa Mugalu, kwakuwa bado sijamuona vizuri!!
Muda ni rafiki mzuri sana, lets wait
Dah ila yule Nurdin Chona sio mtu mzuri
 
Yanga hawana timu nzuri,wana wachezaji wazuri kidogo.Wengine hawataelewa naongea nini.Labda huko baadae.
Umeongea point nzuri sana, this time hawa utopolo wana timu nzuri kwakweli, naona upinzani utakuwa mkubwa, !! Yule striker sarpong yes i like him, the guy ni bull, ni fighter, ana kila kitu kitu mshambuliaji anapaswa kuwa nacho!!
Siezi sema lolote kwa Chris makopa Mugalu, kwakuwa bado sijamuona vizuri!!
Muda ni rafiki mzuri sana, lets wait
 
Michael Sarpong
Leo niseme tu ukweli wangu nimewahi Kuwashuhudia Washambuliaji mahiri sana hapa nchini Tanzania kutokea Timu mbalimbali za Ligi Kuu yetu hii ila kwa Kumtizama Kwangu katika Mechi zake Mbili huku nami nikiwa 'namtathmini' kwa Jicho langu la Kiuchezaji Mpira hasa miaka yangu ya nyuma kama Beki wa Kulia, Namba Nne na Kiungo wa Chini ( Namba Sita ) leo nitayasema machache ila yenye Umuhimu juu ya huyu Mchezaji.

Huyu Mchezaji ana yafuatayo mazuri tupu....

Ni Mpambanaji muda wote awapo Uwanjani
Ni Mwenye Uroho na Goli ( Goal Poacher )
Ni mwenye Kujiamini muda wote
Ni mwenye Uwezo mkubwa sana wa Kumiliki mpira
Ni mwenye Kupiga Pasi zenye Tija kwa Timu
Ni mwenye Nguvu za Kutosha
Ni mwenye kutumia vizuri uwezo wake wa Kichwa na Miguu katika Kufunga

Pongezi zangu nyingi sana kwa Uongozi wa Watani zangu wakubwa Yanga SC kwa 'Kumsajili' huyu Mshambuliaji kwani pamoja na kwamba GENTAMYCINE ni Simba SC 'lia lia' kabisa Kwangu Mimi nadhani huyu Mchezaji kwa Kushiriki Kwetu Mashindano makubwa basi huenda ndiyo angetufaa kwa 100% kuliko huyu Mshambuliaji wetu Chris Mugalu tuliyemtoa nchini Zambia.

Na nawaonya mapema sana 'Mabeki' wa Timu zote za Ligi Kuu kuwa kama hawatamuundia 'Kamati' ya 'Roho Mbaya' ya 'Kumdhibiti' asilete 'Madhara' Kwao GENTAMYCINE natabiri mapema leo hii kuwa huenda Mshambuliaji huyu wa Yanga SC Michae Sarpong akaja Kufunga Goli / Bao hata 50 ( Hamsini ) kwa Msimu huu na Kuvunja hadi Rekodi inayoshikiliwa na aliyewahi kuwa Mshambuliaji wa Yanga SC Mohammed Hussein 'Mmachinga' na niseme tu kuwa hapa Yanga SC imelamba 'Dume' hasa.

Tuisila Kisinda
Kama kuna Mchezaji ambaye nina uhakika anaenda 'Kuwakera' na 'atawakera' mapema tu wana Yanga SC endapo tu 'hatobadilika' upesi ni huyu. Nikiri tu hapa kuwa huyu Tuisila Kisinda ni Bernard Morrison ndani ya Yanga SC na naweza Kudiriki kusema hapa kuwa amemzidi vitu kadhaa muhimu Mchezaji wangu wa Simba SC Bernard Morrison na hili wala halihitaji Mjadala.

Kitu pekee tu ambacho kinaenda 'Kummaliza' huyu Kijana wa Kikongo Tuisila Kisinda ni Makosa yake ya Kitoto ( Schoolboy Mistakes) pia ameshalewa 'Sifa' tayari, anataka Kuutafuta kwa haraka sana 'Ufalme' ndani ya Kikosi cha Yanga SC, ni Mchoyo ( Mbinafsi ) na kibaya zaidi anapenda mno Kucheza na Jukwaa na hata Nidhamu yake pia sidhani kama iko vyema ukianza tu Kuangalia jinsi ambavyo hupenda Kuvalia Jezi kwa Kuzikunja na huku Bukta yake nayo akiikunja ikiashiria kuwa huenda ama ana 'Ushamba' au amekulia katika 'Mazingira' ya 'Kiuswahili' sana huko Kwao Congo DR.

Kama si ule 'Upuuzi' wake alioufanya Jana pale Uwanjani nina uhakika ile Mechi Yanga SC ingeibuka 'Mshindi' tena kwa Goli / Bao nyingi sana kwani Tuisila Kisinda alikuwa anaingia kabisa katika eneo la Hatari la Wapinzani na kutakiwa kutoa tu Pasi ya mwisho kwa Wenzake ili wafunge Yeye hakuwa akifanya hivyo na badala yale alitaka asifiwe tu Yeye kama Yeye na siyo Yanga kama Timu.

Angalau sasa kwa Msimu huu Simba SC tutapata 'Upinzani' wa kweli kutoka kwa Yanga SC na tuwe nao 'Makini' kwani sasa nao ni Wazuri sana tu.
akitoka yanga anakuja simba
 
Kuna muda tuache tu ubishi usio na maana yeyote tuongee tu sport...Sapong Jana hakufunga? hukuona movement zake mkuu? Hao Prisons unaowaona msimu uliopita achana na kushinda Simba hatukupata hata goli...kweli ni kipimo sahihi cha kuipima Yanga Leo kama ni mbovu?
Fanya hivi...Yanga ulioiona Jana inafanana na Yanga ya misimu mitatu iliyopita?
Na si kila mchezaji akicheza Yanga basi akija Simba atakua average...mkuu kuna watu wana Universal quality...unamtaja Ajib na Gadiel kama mifano na humtaji Morison huoni kama unakua biased?
Sometimes tujadili football tu...si kila kilichopo Jirani ni kibaya au kitaendelea kuwa kibaya milele...
Yanga ni ile ile tu haijabadilika Wala nn hawana wachezaj wenye uwezo binafsi na akili ya ziada subiri waende mikoa kweny viwanja vya chandimu ndo utajua kuwa hakuna wachezaj pale yanga Kuna mabondia tu
 
Yanga ni ile ile tu haijabadilika Wala nn hawana wachezaj wenye uwezo binafsi na akili ya ziada subiri waende mikoa kweny viwanja vya chandimu ndo utajua kuwa hakuna wachezaj pale yanga Kuna mabondia tu
Jitahidi kupinga kwa hoja
 
Yanga hawana timu nzuri,wana wachezaji wazuri kidogo.Wengine hawataelewa naongea nini.Labda huko baadae.
Ni kweli kabisa. Safari hii wamejitahidi sana katika usajili, karibia wachezaji wote waliyosajiliwa wameonesha kuwa ni wachezaji wenye uwezo mzuri tofauti na misimu iliyopita walipofanya usajili wa akina Yikpe.

Kazi imebakia kwa benchi la ufundi tu kuiunganisha timu pamoja na mbinu na ufundi wa kimchezo na kujua nani aanze na nani aingie sub. mtazamo wangu naona Kabisa kuwa laiti kama benchi la ufundi wangechanga karata zao vizuri, basi Yanga wangeongoza tokea kipindi Cha kwanza dhidi ya Prison. Lakini sijui kwanini wameamua kuwaweka Nchimbi na Kaseke kwenye ule mchezo.

Nchimbi nadhani nyota yake tu inambeba lakini uwanjani hamna kitu, sijui waliombakiza waliona nini kwake kiasi kwamba wamtimue Molinga ambae ni top scorer wao na kumuacha Nchimbi.
 
Michael Sarpong

Leo niseme tu ukweli wangu nimewahi Kuwashuhudia Washambuliaji mahiri sana hapa nchini Tanzania kutokea Timu mbalimbali za Ligi Kuu yetu hii ila kwa Kumtizama Kwangu katika Mechi zake Mbili huku nami nikiwa 'namtathmini' kwa Jicho langu la Kiuchezaji Mpira hasa miaka yangu ya nyuma kama Beki wa Kulia, Namba Nne na Kiungo wa Chini ( Namba Sita ) leo nitayasema machache ila yenye Umuhimu juu ya huyu Mchezaji.

Huyu Mchezaji ana yafuatayo mazuri tupu....

Ni Mpambanaji muda wote awapo Uwanjani
Ni Mwenye Uroho na Goli ( Goal Poacher )
Ni mwenye Kujiamini muda wote
Ni mwenye Uwezo mkubwa sana wa Kumiliki mpira
Ni mwenye Kupiga Pasi zenye Tija kwa Timu
Ni mwenye Nguvu za Kutosha
Ni mwenye kutumia vizuri uwezo wake wa Kichwa na Miguu katika Kufunga

Pongezi zangu nyingi sana kwa Uongozi wa Watani zangu wakubwa Yanga SC kwa 'Kumsajili' huyu Mshambuliaji kwani pamoja na kwamba GENTAMYCINE ni Simba SC 'lia lia' kabisa Kwangu Mimi nadhani huyu Mchezaji kwa Kushiriki Kwetu Mashindano makubwa basi huenda ndiyo angetufaa kwa 100% kuliko huyu Mshambuliaji wetu Chris Mugalu tuliyemtoa nchini Zambia.

Na nawaonya mapema sana 'Mabeki' wa Timu zote za Ligi Kuu kuwa kama hawatamuundia 'Kamati' ya 'Roho Mbaya' ya 'Kumdhibiti' asilete 'Madhara' Kwao GENTAMYCINE natabiri mapema leo hii kuwa huenda Mshambuliaji huyu wa Yanga SC Michae Sarpong akaja Kufunga Goli / Bao hata 50 ( Hamsini ) kwa Msimu huu na Kuvunja hadi Rekodi inayoshikiliwa na aliyewahi kuwa Mshambuliaji wa Yanga SC Mohammed Hussein 'Mmachinga' na niseme tu kuwa hapa Yanga SC imelamba 'Dume' hasa.

Tuisila Kisinda

Kama kuna Mchezaji ambaye nina uhakika anaenda 'Kuwakera' na 'atawakera' mapema tu wana Yanga SC endapo tu 'hatobadilika' upesi ni huyu. Nikiri tu hapa kuwa huyu Tuisila Kisinda ni Bernard Morrison ndani ya Yanga SC na naweza Kudiriki kusema hapa kuwa amemzidi vitu kadhaa muhimu Mchezaji wangu wa Simba SC Bernard Morrison na hili wala halihitaji Mjadala.

Kitu pekee tu ambacho kinaenda 'Kummaliza' huyu Kijana wa Kikongo Tuisila Kisinda ni Makosa yake ya Kitoto ( Schoolboy Mistakes) pia ameshalewa 'Sifa' tayari, anataka Kuutafuta kwa haraka sana 'Ufalme' ndani ya Kikosi cha Yanga SC, ni Mchoyo ( Mbinafsi ) na kibaya zaidi anapenda mno Kucheza na Jukwaa na hata Nidhamu yake pia sidhani kama iko vyema ukianza tu Kuangalia jinsi ambavyo hupenda Kuvalia Jezi kwa Kuzikunja na huku Bukta yake nayo akiikunja ikiashiria kuwa huenda ama ana 'Ushamba' au amekulia katika 'Mazingira' ya 'Kiuswahili' sana huko Kwao Congo DR.

Kama si ule 'Upuuzi' wake alioufanya Jana pale Uwanjani nina uhakika ile Mechi Yanga SC ingeibuka 'Mshindi' tena kwa Goli / Bao nyingi sana kwani Tuisila Kisinda alikuwa anaingia kabisa katika eneo la Hatari la Wapinzani na kutakiwa kutoa tu Pasi ya mwisho kwa Wenzake ili wafunge Yeye hakuwa akifanya hivyo na badala yale alitaka asifiwe tu Yeye kama Yeye na siyo Yanga kama Timu.

Angalau sasa kwa Msimu huu Simba SC tutapata 'Upinzani' wa kweli kutoka kwa Yanga SC na tuwe nao 'Makini' kwani sasa nao ni Wazuri sana tu.
Shauri yako Mkuu GENTAMYCINE utapigwa mawe na Wanamsimbazi wenzako!
 
Yan unajitekenya mwenyewe afu unacheka mwenyewe... eti afunge goli hamsini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna muda tuache tu ubishi usio na maana yeyote tuongee tu sport...Sapong Jana hakufunga? hukuona movement zake mkuu? Hao Prisons unaowaona msimu uliopita achana na kushinda Simba hatukupata hata goli...kweli ni kipimo sahihi cha kuipima Yanga Leo kama ni mbovu?
Fanya hivi...Yanga ulioiona Jana inafanana na Yanga ya misimu mitatu iliyopita?
Na si kila mchezaji akicheza Yanga basi akija Simba atakua average...mkuu kuna watu wana Universal quality...unamtaja Ajib na Gadiel kama mifano na humtaji Morison huoni kama unakua biased?
Sometimes tujadili football tu...si kila kilichopo Jirani ni kibaya au kitaendelea kuwa kibaya milele...
Wewe unaongea nini? Sasa kwa unavyoona kiwango cha morrison bado ni kilekile alichotokan nacho uto?
 
Hiyo Simba na kikosi tunachokiita bora hatukupata ushindi goli lolote kwa Prison msimu uliopita achana na ushindi...usijisahau ukaongozwa na hisia na kutupilia mbali maarifa.
Usilete stori za msimu uliopita, sasa prison ya msimu ule ndio hii?
 
Ni kweli kabisa. Safari hii wamejitahidi sana katika usajili, karibia wachezaji wote waliyosajiliwa wameonesha kuwa ni wachezaji wenye uwezo mzuri tofauti na misimu iliyopita walipofanya usajili wa akina Yikpe.

Kazi imebakia kwa benchi la ufundi tu kuiunganisha timu pamoja na mbinu na ufundi wa kimchezo na kujua nani aanze na nani aingie sub. mtazamo wangu naona Kabisa kuwa laiti kama benchi la ufundi wangechanga karata zao vizuri, basi Yanga wangeongoza tokea kipindi Cha kwanza dhidi ya Prison. Lakini sijui kwanini wameamua kuwaweka Nchimbi na Kaseke kwenye ule mchezo.

Nchimbi nadhani nyota yake tu inambeba lakini uwanjani hamna kitu, sijui waliombakiza waliona nini kwake kiasi kwamba wamtimue Molinga ambae ni top scorer wao na kumuacha Nchimbi.
Mleta mada umepatia. Nawaza tu ikiwa bado hawajawa na strong management, wataweza KUWATUNZA?
 
Back
Top Bottom