Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Yanga wako vizuri sana msimu huu, na huenda wakachukua taji la TPL.
Mugalu
Kwa nilimwanagalia mech ya kwanza Mugalu hawezi kuwa bora pale Msimbazi.
Hajiamini uwanjani, hakabi, anasubiri kutafuniwa ili afunge, ni afadhari hata Kagere ana fight.
Yanga ilifanya scauting nzuri Wakati wa usajiri.
Mugalu
Kwa nilimwanagalia mech ya kwanza Mugalu hawezi kuwa bora pale Msimbazi.
Hajiamini uwanjani, hakabi, anasubiri kutafuniwa ili afunge, ni afadhari hata Kagere ana fight.
Yanga ilifanya scauting nzuri Wakati wa usajiri.