Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

Yanga wako vizuri sana msimu huu, na huenda wakachukua taji la TPL.

Mugalu
Kwa nilimwanagalia mech ya kwanza Mugalu hawezi kuwa bora pale Msimbazi.
Hajiamini uwanjani, hakabi, anasubiri kutafuniwa ili afunge, ni afadhari hata Kagere ana fight.
Yanga ilifanya scauting nzuri Wakati wa usajiri.
 
Sijawahi kushuhudia shabiki wa Simba mwenye uelewa mkubwa hivi hongera sana mkuu wangu [emoji120]
 
For the first time leo Gentamycine umeongea positive kuhusu YANGA Safi sana kiongozi wangu [emoji120]
 
Na wala sikufichi GENTAMYCINE nimeshawahi pia kuwa katika Kamati 'Maalum' ya 'Kuiroga' Yanga SC tena ile 'mliyopigwa' zile Goli / Bao 5 Taifa.
Hahahaha nimecheka sana [emoji23][emoji23]
 
Unajua hata yanga ya mwaka jana haikuwa mbaya, sema njaa ndio ilikuwa tatizo, naamini kwa tanzania, yanga ndio club yenye madeni mengi sana, sasa anapokuwa na timu ya aina hii moral ya wachezajj lazima itashuka mida baada us muda, hata hii inaonekana ina uhai fulani hivi, ila situation ya fedha ikiwa kama mwaka jana yanga wategemee vipigo tu.
 
Mikia kwa kuiba wachezaji,mkachukua Ajib,Gadiel,Morrison sasa mnawamezea mate kina sarpong jitu la miraba minne shingo ya kiboko hatari kichwa jiwe

Mchezaji wa Yanga akija Simba tunamuweka bench tu kama Man City[emoji16]
 
Ubora upi kwa mpira huo mbovu wa Mikia fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…