Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

Brother hii comment yako unaikumbuka?
 
Sarpong whaaaat
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni huyu sapongo wa yanga au ?
 
SARPONG??
 
Ukimaliza Msimu huu huyu Sarpong ni mmoja kati ya Watakaofukuzwa Utopoloni
 
Sarpong kusema kweli si mchezaji mbaya
Tatizo yanga wanafikiri kazi ya mshambuliaji pale mbele ni kufunga tu
Mbona simba wana mshambuliaji anaitwa mugalu wala.hapewi jumumu la kufunga badala yake ananpswa jukumu la kuwazuia mabeki wa timu oinzani wasipande ili viungo wapate nafasi
 
Nchimbi pi anafanya kazi gani
Mugalu kitakwimu kamwacha Sarmpong kwa magoli
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa Mkuu kwa Nini umebadilisha jina!Gentamycin lilikufaa saaana!
 
Gentamycine unabadili sana IDs ila bado unabaki ni yule yule...
 
Wote wawili wana jumla ya magoli mangapi hadi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…