Ok....
Baada ya X kufanya yake wakati mimi sijui, ghafla nilianza kupata PM kadhaa kutoka kwa wadau humu jf wakiniuliza kulikoni.
Wakati huo pia nilipata msukosuko mkubwa na huyu mdada mpya huku akinitumia shutuma nyingi sana.
Hapo nilibaki kati na nikaamua kunyamaza na kukata mawasiliano kwa new girl na X.
Kwambaali nikaanza kushuhudia minyukano ya wawili hawa humu jf, new girl akiwa mzuri kwa hoja na X akiwa mtu wa kupopoa maneno ya hovyo.
Hapo nilijiweka pembeni zaidi ya sana huku nikiwa tazama kwambaaaali... na nikiendelea kuwapuuza kwasababu wote walikua wakishutumiana kupitia kwangu.
New girl aliamua kukata mawasiliano na mimi kabisa, huku X akizidi kupigana kufa na kupona kwamba mahusiano yake yamevunjwa na NG, hata nilipokua nikimueleza wazi kwamba simpendi tena jibulake lilikua ni kwamba kwakua nipo na NG.
Mwisho nae niliamua kupuuza.
Baada ya muda flani kupita huku nikishudia X akim quote NG humu jf kwa crushed comments... Ghafla nilipata msg kutoka kwa NG... huku akinishutumu kwa mambo mengi mabaya ambayo kwa hakika siku yafanya na sikuhusika.
Kumbe X alitengeneza picha chafu za NG kwa kushirikiana na X boy wa huyu NG. Na sijui waliweza pata mawasiliano wapi hata wakaanza kuwasiliana, kwakweli yule jamaa x boy wa NG wangu alimueleza X wangu mambo mengi sana ambayo ni past za NG.
Amahakika kweli kua uyaone.
Lengo lilikua ni kumchafua na hapo X Boy wa NG wangu pia akapata kushawishika kwamba mimi ndie nilie sababisha waka achana