Safi sana. Sasa huyo kila mwanamke anayempata akituma hela anajibiwa hivyo? Kwangu naona ni uongo..
Mkuu...Huyu jamaa nae kazidisha chumvi, hata kama hana shukrani duuu!!
Leo asbh nimemtumia mama yangu msimbazi tu mmoja kutokana na mambo yangu hayakuwa mazuri lkn mama kanishukuru.hadi nikashangaa.
Nilishaachaga mchezo mchafu wa kutumatuma.pesa kwa wanawake zaidi ya mama yangu.
Okay ukinifikia nilikuambia kuna wako sidhani kama utaweza kuupokea mwenyewe ulivyo mkubwa...unajua kule sipo serious nafanya kukupoke tu halafu kumbe unaniangalia[emoji4]Nope ntafatilia kesho nijue imekuwaje huo mzigo. Me nakuangalia tu unavyocheka kitalebani, unanijua vizuri mnyaki mimi teh
Mkuu umenena kifasihi sijakuelewa ila jema naona wadau wanakushauri vyemaHaya mambo yalisha anikwa kitambo mkuu, sema wewe ndio yalikupita tu.
Humu wapo ambao walisha yapata ingawa ilikua kwa kukandamiza upande mmoja
We sasa utaharibu...... Basi mi nasema suuuuuHahaha kile nakingoja kwako kwanza halafu ujue muda unazidi kwendaa Dooh!!
Mkuu ila na wewe una moyo two kids bado ukabeba mkuu had na watatu anyway poleYaani.....
Nilijua ana watoto wawili, kumbe alikua ana mwingine ambae alimzaa akamuacha kwa babayake mtoto. Ndipo nilipo kuja kujua baadae kwamba kumbe alikua na mtoto wa manzo tofauti na hawa wawili ambao nilikua nawasomesha na wakwangu wawili.
Kwakifupi sikuwahi kuzaa na X, na nilijua ana watoto wawili kumbe ana watoto watatu, na kumbe bado yupo ndani ya ndoa
Wasio hudumia wake/gf zao na wapate wasaidizi wa pembeni..AMEN.Mkuu...
Ikiwa wanao wapo kwa gf wako na wanataka kula good time, unatarajia nani atume pesa ya kuwahudumia?
Mweeee nishaanza ugonjwa wangu wa kusmile aloneOkay ukinifikia nilikuambia kuna wako sidhani kama utaweza kuupokea mwenyewe ulivyo mkubwa...unajua kule sipo serious nafanya kukupoke tu halafu kumbe unaniangalia[emoji4]
Maskini new girl kaponzwa na XNipo double mkuu.
Nafasi imejaa..[emoji12] [emoji12]
Hapana kwani nilikusemesha??umesema?!
Yule wa tatu sikuwahi kuambiwa pale mwanzo, na nilicho kifanya kwa kukubali wale wawili ni kwakua nami nina wawili.Mkuu ila na wewe una moyo two kids bado ukabeba mkuu had na watatu anyway pole
hahah smile smile mimi kamenianza muda nikasema nisikuambie ila kanakolea sasaMweeee nishaanza ugonjwa wangu wa kusmile alone
Hahaha nipatie ile emoji kanakimbia kwangu kama sikaoniWe sasa utaharibu...... Basi mi nasema suuuuu
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] nasubiri utekelezaji tu
maniner yaaan huu ubuyu unaunguza meno!!!hahaaa yamemfika hapa ushiboi..kweli jf ni zaidi ya uijuavyo!! cuzoo zawadi yako ni dira la kuchezea kigodoro hahaaaaHuhuuuuuuu mambo yamenoga si mchezo.
Mie niko na juice yangu ya ukwaju hapa nafuatilia.
Raaaaaha sana.
Ila JF hii ina mambo?
Mhhhhhhhhh
cc Charity Diva Beyonce DaJane brenda18 Dinazarde
Mkuu...
Ikiwa wanao wapo kwa gf wako na wanataka kula good time, unatarajia nani atume pesa ya kuwahudumia?
ha ha ha haa...sema ninii nimekumiss kule jlw...!!Kama haieleweki kwanini unaisoma aiseeee....[emoji12]
Ebu nipishe na MP zako za msimu hizo...[emoji57]
Alafu.....
Mbona muandiko wako unafanana na yele X...[emoji15]
Au una ID mbili?
Ahsante kumbe nawe umeona hii kitu kwa Jicho la 3Kwahiyo sasahivi uko single kutokana na huyo x?