Safi sana. Sasa huyo kila mwanamke anayempata akituma hela anajibiwa hivyo? Kwangu naona ni uongo..
Huyo hajaongea ukweli ila kutokana na hiyo response ilimuuma sana sunahua pesa zenyewe hizi zinapatikana kwa njia tofautitofauti mwingine kupata elfu 30 ni haso ya kufa mtu sasa ukijitoa ukamtumia mtu 15k anaidharau ndio maana jama aka generalize lkn kakosea